Kanisa halijawahi kutueleza ni lini lilibadili lengo lake lililolifanya kuja Africa (lile lengo tulilofundishwa kwenye historia) kwa hiyo ni sahihi vijana wakizuia kanisa kupokea rushwa ya hadharani (kutoka kwa wanasiasa (almaarufu sadaka)
Kanisa ni chawa wa wanasiasa na kuwadi wa ukoloni mambo...
Tulitoa taarifa uhamiaji tena kwa viongozi wakubwa wenye dhamana ya uwwpo wa wahamiaji haramu na mahali walipo, wakatoa gari tukawapeleka kwenye hizo nyumba hakuna hatua yeyote walio chukua, tunahofia usalama wetu maana wale wahamiaji wameshatujua, mwingine alipigwa PI kipindi mwigulu akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.