Recent content by nkasoukumu

  1. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii waanza kutia huruma baada ya Godbless Lema kushauri njia ya kudili na wote wasiosimama pamoja na wananchi, wadai wao siyo chanzo cha shida zao

    Kwa kuwa wanaweza kumuombea mgombea kura waungane kujiombea wasikilizaji wa muziki wao
  2. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    mzaliwa wa kwanza kivipi
  3. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore akikutana na Putin na akikutana na waafrika wenzie

    v viongozi wa Afrika ni wafanyakazi wa mashirika ya Kijasusi ya magharibi hawapaswi kuaminika
  4. nkasoukumu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gen Z watawanyika katika Makanisa mbalimbali kuzuia Harambee za Wanasiasa kesho, Padre wa Rais Ruto aonywa!

    Kanisa halijawahi kutueleza ni lini lilibadili lengo lake lililolifanya kuja Africa (lile lengo tulilofundishwa kwenye historia) kwa hiyo ni sahihi vijana wakizuia kanisa kupokea rushwa ya hadharani (kutoka kwa wanasiasa (almaarufu sadaka) Kanisa ni chawa wa wanasiasa na kuwadi wa ukoloni mambo...
  5. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mabomba ya maji kutoa maji ya tope

    Sio kilio timizeni wajibu wenu tunalipa bili
  6. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

    Hiyo sio Imani yetu ni ya wazungu wanyonyaji
  7. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Vijana acheni pombe na Energy drinks, mwifwa

    Wewe ni mnjanja saaana ongeza idadi
  8. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa vijana: Kijana fanya juu chini hakikisha una check number

    Kwani wanalipwa bei gani kwa mwezi mpaka wakae kusubiri ajira,
  9. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

    Tulitoa taarifa uhamiaji tena kwa viongozi wakubwa wenye dhamana ya uwwpo wa wahamiaji haramu na mahali walipo, wakatoa gari tukawapeleka kwenye hizo nyumba hakuna hatua yeyote walio chukua, tunahofia usalama wetu maana wale wahamiaji wameshatujua, mwingine alipigwa PI kipindi mwigulu akiwa...
  10. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

    Hatuichukii Palestine badilisheni mbinu
  11. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

    Anaenda kuwachunguza tu ili arejeshe taarifa
  12. nkasoukumu

    JamiiForums Tanzania Yanga yaalikwa Malawi Sherehe za Uhuru

    NICE try Bado haiwezi kumaliza suala la DP WORLD
Back
Top Bottom