Recent content by nkanziga

  1. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Mbeya ndio mkoa Pekee Hadi Leo Tanzania hii ilipofanyika sherehe ya uzinduzi wa elevator 😂😂
  2. nkanziga

    ADHA YA BARABARA BAHI DARAJANI

    Kwa watumiaji wa njia/barabara ya Dodoma - Singida watakuwa mashahidi wa adha na adhabu wanayokumbana nayo maeneo ya Bahi darajani hasa kipindi hiki, daraja la bahi japo reli ya SGR kipande kile imekamilika limebaki kuwa kero Kwa watumiaji wa magari sababu ya ubovu wa njia yake, ni lini wahusika...
  3. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Watu wa Dodoma bila kuweka miradi ya Serikali Kuna nn Cha kupost maana karibu Kila mradi ni wa Serikali 😂
  4. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Unajua maana ya mazao yanayostahimili UKAME? 😁
  5. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Uhuru hospital inaingia hata Kwa Kamanga medics?
  6. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Kwa hili jangwa kweli Mwanza haiiwezi Dom Kwa ukame
  7. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Kwamba Best Western City Ndio 5 Star 🤣🤣 Sasa Hio Inatofauti Gani Na Hotel Kama Hadjens 😂
  8. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Moja ya neighborhood ya ajabu Dodoma ni nyumba 300 asee
  9. nkanziga

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Nyumba 300 ni mradi wa TBA (serikali)
Back
Top Bottom