Recent content by njuga

  1. N

    Mabadiliko ya DED yapo tayari. Huyu wa Mafia, bwana Erick Mapunda atapona?

    Watu kwa majungu bwana. Huyu naona aliitaka hiyo DFP akaikosa. Acha fitina hizo kama fungu LA kukosa subiri sizonje amalize muda.KijanaErick chapa kazi fuata kanuni na miongozo. Wale wanafiki wapige chini kwa kufuata sheria kanuni na taratibu
  2. N

    Sakata LA Watumishi STD VII SERiKALI HAKUNA WARAKA

    Wanajamvi pamoja na tamko zuri lililotolewa bungeni hususani kuwarudisha kazini watumishi darasa LA saba. Watumishi hao bado wanahaha hasa wale wa mashirika ya umma. Maafisa utumishi wakidai eti hawafanyi kazi kwa matamko wanahitaji waraka. Ombi waziri mwenye dhamana Mzee wetu mwalimu Mkuchika...
  3. N

    ATCL chukueni maamuzi magumu

    Pia ATCL wapunguze gharama za uendeshaji kwa kutumia mawakala badala ya kuwa na ofisi kila waendako. Hakuna haja yakuwa na watumishi wengi kwenye kila ofisi
  4. N

    ATCL chukueni maamuzi magumu

    Asante kwa marekebisho nilimaanisha crj 200
  5. N

    ATCL chukueni maamuzi magumu

    Nia ya kuleta Uzi huu sio kubeza ATCL kwa vile sisi ni wazalendo tunaeleza ukweli ili kujitathmini. Kama tutafufua ndege ile iliyopo hangani tutaweza kupambana na ushindani.
  6. N

    ATCL chukueni maamuzi magumu

    Tarehe 10 Machi 2018 nimesafiri toka Dsm mpaka Kilimanjaro. Safari ilitakiwa ianze SAA 11:40 lakini tukaondoka SAA sita na robo usiku. Kisa ni kupata hitilafu ya kiufundi huko mwanza. Kabla ya Bomberdier tulikuwa na cs 300 ndege iliyoweza kufanyakazi katika kipindi chote. Lakini baada ya...
  7. N

    Polisi na TANROADS tuondoleeni keri hii ya malori ya TBL kufunga barabara Arusha

    Kero hii imezidi TBL Arusha wanaegesha malori ya kubeba bia mpaka malori yanafunga barabara na ukiwaeleza wanajibu hayapo katika eneo lao. Tunaomba Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani watusaidie na TANROADS pia wawatafutie sehemu waegeshe magari ili yaje kwa kuitwa. Inakera sana
  8. N

    Tanzia: Alphonse Nchimbi wa Likonde Sekondari amefariki dunia

    Wanajamvi waliosoma Likonde Seminary Miaka ya 80 na Tisini wapenda kuwaarifu mwenzetu Alphonse Nchimbi amefariki dunia jana. Taratibu za kusafirisha zinafanika kivule tayari kwenda wilaya ya Nyasa Ruvuma kwa Mazishi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen Sent using Jamii...
  9. N

    NSSF sio mfuko mzuri kujiunga kwa waajiriwa Wapya

    mmmmmh. Sio Dar tu. NSSF Arusha ndo mbaya zaidi. TCRA mpo au nanyi mmetiwa mfukoni? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. N

    Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

    Soko LA SIDO Mbeya lililopo eneo LA Mwanjelwa lateketea kwa moto usiku huu. Mwenye taarifa zaidi na picha atujuze tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  11. N

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kuna maeneo mengi arusha kwwa ving'amuzi vinavyotumia antena signal za tbc1,tbc2,tv1 zipo chini sana halafu clouds tv haipatikani
  12. N

    VETA kuna vyeti feki vingi, uhakiki ufanyike kwa makini

    Ukweli ni kwamba walipeleka vyeti makao makuu VETA lakini havikwenda Baraza. Kachambue taarifa za matokeo kama hiyo taasisi IPO. VETA mkubali kujipanga kwenda na wakati ili muoneshe tija na sio kusifia mafunzo ambayo vijana wanarudi huku mtaani wakijua nadharia tu na tunaanza kuwafundisha kwa...
Back
Top Bottom