Recent content by njiwa_poli

  1. njiwa_poli

    Wajue M23, historia na uhusiano wao na Rwanda

    Shukrani sana mkuu,, yaani nilikuwa najiuliza maswali Rwanda inatafuta nini kwenye nchi ya watu??, Kumbe ni Mzee Kabila alifanya makosa makubwa ambayo hakutegemea kuwa yataigharimu nchi hv na yataendelea kuigharimu. Hapo sasa Kongo kutulia ni ndoto maana ndani ya serikali hata sehemu nyeti...
  2. njiwa_poli

    Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

    Maisha yenye amani ni kumpokea Bwana Yesu, aingie ndani yako hapo ndipo hata kwenye shida utakuwa na amani utamtegemea yeye tu. Mathayo 11: 28-30
  3. njiwa_poli

    Nahitaji kunyonya majitaka shimo limejaa. Nipo Dar

    Wasiliana na namba hizo[emoji116][emoji116]
  4. njiwa_poli

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Namtafuta rafiki yangu wa utotoni tulianza shule pamoja mwaka 1998 shule ya msingi LUGOMBO Mwakaleli anaitwa GWALUGANO MWAKIPOSA popote alipo au unayemfahamu please naomba nijulishe.
  5. njiwa_poli

    Kwanini watu waitwe kwa awamu kazini?

    Okay sawa,, ngoja tusubiri,, maana mi nikawa namshauli kuwa aende tu watajuanaga hukohuko na mwajiri wake. Ngoja tusubiri tuone.
  6. njiwa_poli

    Kwanini watu waitwe kwa awamu kazini?

    Kwa nini umesema after 2 weeks?
  7. njiwa_poli

    Kwanini watu waitwe kwa awamu kazini?

    Habarini ndugu! Samahani naomba mnisaidie; mdogo angu ameajiriwa na tasisi fulani ya serikali huko Shinyanga, ila kinachonishangaza kwenye kada zingine wameishaitwa kazini ila kwenye kada yao waliajiriwa wawili yeye na mwenzake wenyewe mpaka saizi hawajaitwa, ni kama wiki tatu zimepita toka...
Back
Top Bottom