Inasikitisha sana na inauma sana maana miongoni mwa vituo bora ilikuwa startv lkn siku hizi kimekuwa chombo cha upande mmoja.TCRA wawachuguze startv maana wanatunyima haki yetu yakupata habari zote
Hali ni ngumu sana bein sport hawana mamlaka ya kuonyesha EPL ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara na wao wanamlaka ukanda wa kaskazin na sijui kam kuna vingamuzi vya bein sport
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.