kuna watu uwa hawajielew yaan pal!
sema uyo anaesem m najichoresh cjui kimemuuma nn yaan...
somtymz ukiwaza unachek tu coz iz a seriuz matter and one comez uttering shit!!
sema Mungu awasaidie wenye akili za kipuuz kama yy wafunguliwe macho ..
its educational forum you reply what it concerns yu...
Kwa yeyote aliyechaguliwa na anaenda College of African Wildlife Mweka naomba anicheki hapa tuyajenge masuala muhimu maana hata mimi naenda pale.
Hata kama upo chuo tayari mwaka wa kwanza au wa pili please contact me katika namba 0620 645 008
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.