sasa wewe hujui ata matumizi y
wewe hujui ata matumizi ya hypersonic na supersonic, Kwenye misseile hatutumii hypersonic n sawa na useme sukari mita mbili. Pili hapa n game of first attack Itan akianza kushambulia ana 70% ya kuwin, tatzo ujasiri huo hawez upata maana us ikimuanza it will be...
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la
1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la...
Mkiambiwa wavaa makobazi hawanaga akil mwelewee sasa ona hili bwabwa, yaan nchi imeisha imekuwa majivu unasema bado malengo hayajafikia..itawachukua miaka 200 kuijenga Palestina mpya
TRUMP MBAYA KWA MAREKANI MZURI KWA DUNIA
Ni Rais aliyeweka mbele maslai ya marekani, aliyepambana kuipandisha dola kwa nguvu zake zote na kuirudisha heshima ya Marekani iliyokuwa imepotea kwa miaka mingi, siyo tu kiuchumi bali kijeshi na na kuipa heshima duniani. Watu wote wanaojua siasa za...
RUSSIA IMEONESHA AFRICA NDIYO MSINGI WA DUNIA KWA SASA
Mafahali wawili wanaposhindana wanyonge hupita salama
ndugu zangu utaona Rais Putin kwa sasa ameikumbatia sana Africa kama moja ya msingi mkuu wa uchumi wa Russia hii ni kudhihirisha kuwa Africa ni dude kubwa lililolala lililotumi na...
kile usichojua USSR yote ilikuwa chini ya Othodox, hakuna tofauti kubwa ya waothodox na roman catholic , tofauti yao ipo katika viongozinwa kanisa kuoa au kutooa
nasikitika kusema kuwa mimi nilikuwa muhadhirika mkubwa wa magharibi, yaan nlkuwa naweza kugombana na mtu au kutukana pale tu anapoigusa marekani kiufupi nilikuwa shabiki kufa kufa wa magharibi hasa linapokuja suala la mzozo wa Ukraine na Russia. ila kwa furaha sana baada ya kufuatilia fact na...
Nasikitika kusema kuwa mimi nilikuwa mhathirika mkubwa wa Magharibi, yaain nilikuwa naweza kugombana na mtu au kutukana pale tu anapoigusa Marekani kiufupi nilikuwa shabiki kufa kufa wa Magharibi hasa linapokuja suala la mzozo wa Ukraine na Russia.
Ila kwa furaha sana baada ya kufuatilia fact...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.