Hii kasi ya magufuli kumbe itasaidia kuvumbua wengieee....kama na ww ni mhusika basi subiri panga la Dr Kigwangala whose in professional aje kukuchunguza...
Kigwangala ni Dr in profession sasa tuone wajanja wanaotulia hela km akina Dr mwaka hahahaaaa...kigwangala ibua mambo...ujue hapa tz eti kila MTU ni Dr..... Basi hata mm nitajiita Dr kwa kujua dawa ya tumboooo
Kwanza MTU km kubenea amepata ubunge kwa 7bu ya ushabiki wa watu wa ubungo na kujihakikishia ushindi wa kiti cha Urais,that's why tunasena ukawa is a model to be a Nyumbu In tanzania.
Ukiona mtu analalamika kuhusu uteuzi huo ujue labda baba yake au kaka yake au Mjomba au ndg yake wa karibu kaachwa kuteuliwa...kwani lzn ndg yako???? Fikra mbovu
Dr Slaa ni mzalendo na msema kweli tena mwenye maono,ushabiki na uroho wa madaraka kwa akini mbowe na lisu sasa wameweka mikono yao mifukoni na aibu juu...walihubili sana ufisadi sasa wao ndo wameonekana mafisadi...
Big up dr slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.