Recent content by Niwemugizi7

  1. Niwemugizi7

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Oyoooo asante Mungu. Nimepataaaaa.... sasa kimbembe kuwekewa
  2. Niwemugizi7

    Idadi ya wapiga kura za urais na ubunge Segerea inatatanisha

    Kama kuna mtu aliyefuatilia mchakato wa uchaguzi Jimbo la Segerea hasa takwimu zilizotolewa na Jaji Lubuva leo, naomba tusaidiane hapa! Jumla ya kura zilizopigwa na kusomwa na msimamizi wa uchaguzi za wabunge ni takribani 275k lakini kwa mujibu wa Jaji Lubuva kura zilizopigwa za uraisi ni 220k...
  3. Niwemugizi7

    Joining instructions udsm undergraduate 2015/2016

    Habari zenu wakuu? Naomba kama kuna yeyote aliyefanikiwa kupata joining instructions form ya UDSM tufahamishane...
  4. Niwemugizi7

    TCU CAS & UDSM Undergraduate admission 2015/16

    Mwenye joining instructions form ya udsm atupie hapa maana link iliopo kwny web inazngua
  5. Niwemugizi7

    Scholarship kusoma nchi za Nje!

    Kuna scholarship za Commonwealth kusoma UK masters kwa mwaka mmoja. Tembelea website ya wizara ya elimu. Hizi hazina usumbufu zaidi ya passport ya kusafiria na matokeo mazuri.
  6. Niwemugizi7

    OMAN: Walioapply scholarship

    Maybe hujanielewa. Oman scholarship za mwaka huu zimetoka August.
  7. Niwemugizi7

    OMAN: Walioapply scholarship

    Waungwana naomba kama kuna aliyeapply hizo scholarship wizarani tufahamishane updates....
  8. Niwemugizi7

    Mwongozo wa Kozi za Shahada za Uhandisi hapa Tanzania

    Asante kwa uamuzi wako wa kujitolea kufafanua kozi hizo. Naomba unisaidie kwa maoni na uzoefu wako, kati ya environmental na geomatics, ipi iko bora kwa mazingira ya kazi hapa nchini?
  9. Niwemugizi7

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Wakuu naomba kama kuna mwenye ufahamu kuhusu B.Sc.Mechanical Engineering anisaidie kuifahamu vizuri hii course kwa minajili ya inahusu nini kwa hasa(application in daily life), makertability na loan possibility hasa UDSM
  10. Niwemugizi7

    Ushauri kuhusu petroleum chemistry na civil engineering

    Habari zenu wakuu.. Nimehitimu Advanced Level mwaka huu na nina jumla ya pass 10 kwenye PCM. Naomba kufahamu which one is the better course kati ya Civil Engineering na Petroleum Chemistry pale UDSM? Hii inahusisha loan possibiity na nafasi za ajira hapo baadae.. Asanteni..
  11. Niwemugizi7

    Ushauri kuhusu Actuarial Science na Geomatics

    Naomba kufahamu kuhusu Civil Engineering hapo Ardhi. Nina B, B+,B . Possibility ya loan na kuhusu mazingira ya chuo?
  12. Niwemugizi7

    NBA Season 2014/2015

    I think Stephen Curry is backed up hy the likes of Thompson and Grern but just look at LeBron, then imagine if it were Steph Curry in the current CAVS team.. I bet noone would want a game 6 to decide..
Back
Top Bottom