Recent content by nivoj.sued

  1. nivoj.sued

    PCTL helps Zanaki get ICT gadgets for promoting science, technology and innovation

    Zanaki Headmistress, Delvine Koka (the hijabed madam in the middle) being surrounded by Pilly Ngarambe, the Representative of Dar Muncipal Education Officer (on her immediate left) and Shakil Dharamsi, the CEO of PCTL (on her immediate right), receiving ICT gadgets in the computer laboratory at...
  2. nivoj.sued

    Kuelekea Dunia ya Kidijitali: Sekondari ya Zanaki yaanza kutekeleza mradi wa kujenga Jamii ya Kidijitali Tanzania

    Mkuu wa shule ya Zanaki ( mwenye hijabu katikati) akipokea vifaa vya tehama Shule kongwe nchini Tanzania, Sekondari ya Zanaki, iliyoko jijini Dar es Salaam, hatimaye imefanikiwa kujiunga katika utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali baada ya kupata vifaa vya tehama kwa ajili ya...
  3. nivoj.sued

    Kanisa liko sahihi kukataa padre wa Bukoba kugombea ubunge

    Kwa wiki mbili sasa mitandaoni inazunguka barua inayoonyesha ni ya askofu Desiderius Rwoma wa jimbo katoliki la Bukoba. Barua hiyo inahusu padre aliyeandika barua ya kuacha upadre akaenda kusikojulikana. Barua hiyo inaonyesha kwamba padre huyo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkenge...
  4. nivoj.sued

    Uchaguzi 2020 Mapingamizi ya Wasimamizi Uchaguzi Kata yatikisa Karagwe

    Mapingamizi ya Wasimamizi wa Uchaguzi wa Kata yameitikisa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya aitwaye Godfrey Mheruka. Kati ya wagombea 23, kuna wagombea udiwani 12 kutoka Chadema ambao wameenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Kata. Takwimu zinaonyesha kwamba...
  5. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Ha ha ha! We kiboko! Basi tuanze kutafuta kengere then tutafute mfungaji wa kengere kwenye mguu wa serikali. Mjadala uendelee.
  6. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Serikali imesema corona haitasimamisha uchaguzi wala Bunge
  7. nivoj.sued

    Rasimu ya Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya 14 Katika Katiba ya Tanzania

    Nimekuelewa. Lakini mapendekezo yote haya yametokana na maoni ya wananchi kupitia tume za Nyalali, Kisanga na Warioba. Wananchi wamekwishapata fursa ya kusema wanachotaka. Mawazo yao yaliminywa tu. Yamefufuliwa. If so kuna haja ya consultation juu ya haya?
  8. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Rafiki, Kuna kitu kipya HAPA. Hebu pitia uongeze/upunguze minofu kama kawaida yako...
  9. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Acha vurugu, soma HAPA uweke minofu..
  10. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Hello, Tayari nimefanyia kazi ushauri wako kama ifuatavyo: 1. Nimefomati rasimu ya muswada kwa kutumia mfano wa Mabadiliko ya 13 ya mwaka 2000 2. Rasimu ya Muswada wa Mabadiliko ya 15 nimeitundika HAPA. Pitia halafu unipe feedback...
  11. nivoj.sued

    Rasimu ya Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya 14 Katika Katiba ya Tanzania

    Wadau, Nimepitia uzi wenye jina "Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania" na kupenda mjadala ule ambao mpaka sasa umeshirikisha watu 9000. Pia nimepitia mabandiko mengine yenye kujadili mada hii tangu mwaka 2015. Hivyo nimeshawishika kuandika rasimu ya mabadiliko ya katiba yanayojadiliwa. Nayaweka...
  12. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Kalamu1, Andiko hilo limeboreshwa ili kukuonyesha ratiba husika. Soma hiyoooo.
  13. nivoj.sued

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    nivoj.sued, Andiko hili limeboreshwa kwa kuongeza ratiba, bajeti na mgawanyo wa majukumu!
Back
Top Bottom