Zanaki Headmistress, Delvine Koka (the hijabed madam in the middle) being surrounded by Pilly Ngarambe, the Representative of Dar Muncipal Education Officer (on her immediate left) and Shakil Dharamsi, the CEO of PCTL (on her immediate right), receiving ICT gadgets in the computer laboratory at...
Mkuu wa shule ya Zanaki ( mwenye hijabu katikati) akipokea vifaa vya tehama
Shule kongwe nchini Tanzania, Sekondari ya Zanaki, iliyoko jijini Dar es Salaam, hatimaye imefanikiwa kujiunga katika utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali baada ya kupata vifaa vya tehama kwa ajili ya...
Kwa wiki mbili sasa mitandaoni inazunguka barua inayoonyesha ni ya askofu Desiderius Rwoma wa jimbo katoliki la Bukoba. Barua hiyo inahusu padre aliyeandika barua ya kuacha upadre akaenda kusikojulikana.
Barua hiyo inaonyesha kwamba padre huyo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkenge...
Mapingamizi ya Wasimamizi wa Uchaguzi wa Kata yameitikisa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya aitwaye Godfrey Mheruka.
Kati ya wagombea 23, kuna wagombea udiwani 12 kutoka Chadema ambao wameenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Kata.
Takwimu zinaonyesha kwamba...
Nimekuelewa. Lakini mapendekezo yote haya yametokana na maoni ya wananchi kupitia tume za Nyalali, Kisanga na Warioba.
Wananchi wamekwishapata fursa ya kusema wanachotaka. Mawazo yao yaliminywa tu. Yamefufuliwa. If so kuna haja ya consultation juu ya haya?
Hello,
Tayari nimefanyia kazi ushauri wako kama ifuatavyo:
1. Nimefomati rasimu ya muswada kwa kutumia mfano wa Mabadiliko ya 13 ya mwaka 2000
2. Rasimu ya Muswada wa Mabadiliko ya 15 nimeitundika HAPA.
Pitia halafu unipe feedback...
Wadau,
Nimepitia uzi wenye jina "Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania" na kupenda mjadala ule ambao mpaka sasa umeshirikisha watu 9000. Pia nimepitia mabandiko mengine yenye kujadili mada hii tangu mwaka 2015. Hivyo nimeshawishika kuandika rasimu ya mabadiliko ya katiba yanayojadiliwa. Nayaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.