Hiyo imsaidie kufahamu kwamba kabla ya harusi maisha maisha yalikuwaje, kwa huyo mwenzie kama ambavyo yeye mwanaume anajifahamu alimopitia kabla ya harusi,baada ya ufahamu huo asimuache ila adhibiti isitokee hali hiyo.
Ujio wa Yesu na kazi Ya msalaba inajibu swali hilo kwamba na wao wanafika mbinguni kwani roho ya yesu ilishuka kuzimu na huko ilifanya kazi tatu,mosi kuwahubilia walioko kule yaani waliokufa toka wa kwanza mpaka yule aliyekufa pamoja naye,pili kunyang'a mamlaka ya shetani ambaye alimiliki roho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.