Recent content by NITASIMAMA

  1. NITASIMAMA

    daaaah TCU mbona mmechewa kuntumia hizo confirmation code mapema

    Mkuu tumia computer tu,simu inazingua sana,au ni pm unipe info zako nikusaidie
  2. NITASIMAMA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi wakuu,race to 5 corners w1,huo ni mfano tu,kiuhalisia sijaelewa maana yake tafadhali msaada hapo
  3. NITASIMAMA

    Nielewesheni jamani ufaulu hu PCB

    Orodhesha vyuo alivokosa kwanza
  4. NITASIMAMA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazeee wa kona,timu tatu tu odds 6, 1xbet code Q31ZM
  5. NITASIMAMA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu kampuni gani hapo unaipata?
  6. NITASIMAMA

    kwa walio apply NIT

    Sasa mkuu second selection si wamefunga kwa sasa mpaka tcu watakapofungua upya
  7. NITASIMAMA

    Je, sababu zipi hufanya vijana wengi kumkumchukua mwanamke na kuishi nae kama mke bila kufata utaratibu?

    Nadhani wameelimika sana hao kuliko hao wengine,unajua suala la kumtolea mwanamke mahali ni ulimbukeni mkubwa ni kama vile unamuuza mwanamke kwa mwanaumwe nadhani wazo la mahali lingeondelewa kabisaaa
  8. NITASIMAMA

    Tahadhari kwa walio multiple udom

    Satus zao zimeshabadilika mzee,wamejirekebisha
  9. NITASIMAMA

    Tahadhari kwa walio multiple udom

    Hamna udom wameshaacha kuconfirm bila ridhaa ya mwanafunzi kama walivokua wanafanya awali,sasa ivi akaunti yangu inasoma kama mwanzoni tu kabla hawajaconfirm wao!
  10. NITASIMAMA

    Tahadhari kwa walio multiple udom

    HATIMAE UDOM WAMESIKIA KILIO CHETU NA KAMA WALICONFIRM BILA YA RIDHAA YA MLENGWA,UKIINGIA TU KWENYE AKAUNTI YAKO YA UDOM WANAKUTAKA UCONFIRM UPYA,SASA NI FULL SHANGWE TU
  11. NITASIMAMA

    Tahadhari kwa walio multiple udom

    Mkuu,naomba tafadhali utume screenshot ya akaunti yako ya udom baada ya kuunconfirm,nataka nione ujumbe gani wanauweka hapo,natanguliza shukurani zangu za dhati
  12. NITASIMAMA

    UDOM TUMIENI USTAARABU KIDOGO

    Sasa ukali wangu uko wapi hapo? Msitafute shali!!
  13. NITASIMAMA

    UDOM TUMIENI USTAARABU KIDOGO

    Kwani umesikia kila mtu anategemea mkopo wa serikali,pita pembeni
  14. NITASIMAMA

    UDOM TUMIENI USTAARABU KIDOGO

    Mkuu hata mimi wamenifanyia hivyohivyo alafu eti unconfirmation wanataka code,huu ni uhuni siwezi nikawapa code wale wapuuzi,nimeshaconfurm muhas kwa kutumia code huko udom watajua wao wenyewe na system yao
Back
Top Bottom