Nimekupata kaka mwananchi....nadhani turahisishe hili zoezi kwa kufanya hivi...wale ambao wako tayari kuhusu swala hili naombeni mtupie namba zenu hapa then mi ntacreate group watsapp and add you all ili tuanze mchakato rasmi Wa nini kinaanza nini kinafuata!pamoja guys
Hilo la kuona Kama wanawake ndo wana dhiki Sana ya ndoa ndo linaloniboa Mimi aisee....sijui kwanini wakaka wamekuwa wakituchukulia hivyo kwakweli!..INABOA kishenz yaan!inafikia mahali mwanaume kukuoa anaona Kama amekufanyia bonge la favor yaan...waiiiiiiiii
Mimi Kama mimi bado sina shamba.....mashamba ni ya kukodisha na yanapatikana!kuhusu ukubwa Wa shamba ni juu yetu sisi kujua kwa kuanzia tuanze na shamba la ukubwa gani...tunaweza kuamua kuanza na ekal moja then tukaendelea kuexpand muda baada ya muda!
Kaka sungura mjanja lengo la kutaka kuungana ni kutaka kuunganisha nguvu pia...mitaji ni tatizo kwa vijana wengi,lakin tukiamua kuungana tutaweza!zipo pia fursa za mikopo na ufadhili kwa vijana hasa kwa haya maswala ya kilimo,lakin kuzipata fedha hizo ni lazima tuonyeshe nia ya kweli na tuwe na...
Mananasi mimi sijawah kulima....ila nimeuliza kwa wataalamu na nikaambiwa eka 1 inaingia hadi miche elfu 18 na mche mmoja ni sh 150-200!so kwa gharama hizo hiyo figure iko sahihi!
Ninao mchakato Wa kitaalamu TGI...unaoelezea gharama na makisio ya mapato!ila hapa nimejitahid kuweka katika njia rahis then tutakapopatikana members then tunaweza kushare zaidi!!
Daaah hongera Sana shuli...nikifikia kununua eneo kubwa hivyo basi tena!ntakuwa nimeanza kuishi ndoto zangu!with that big land u can do so much...nitafurahi Sana siku nikiweza kutoa ajira kwa vijana wenzangu,hasa wale wenye elimu ya kawaida...hatuhitaji masters kujua jembe lashikwaje!tutazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.