Yeah possible coz lengo la kumficha mtt ni kutaka atengeneze mazingira ya kuonekana badae kuwa yeye pekee ndo aliemtunza mtoto na ndoivo anakusudia kukifanya kwangu.
Nmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.
Mtoto nina uhakika ni wangu, kuanzia sura anavoonekana ni copy yangu pamoja na kurithi baadhi ya tabia. Ni matatizo ya wanawake tunaooa na kuzaa nao tu
Habari za weekend wana JF
Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.