Recent content by Nisa Nisa

  1. N

    Tujifunze namna ya kuwatambua malaya/wanawake wasio waaminifu

    Eh inategemea na chuo au? Do mtazamo wako lakini...... Nimesoma mlimani
  2. N

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta iPad au tablet used good condition rangi nyeupe budget lak 2 mwenye nayo ni pm number yako
  3. N

    Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

    Si kila kitu lazima uchangie ukiona uelewi unapita
  4. N

    Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

    Asante saana kwa ushahuri mzuri ntaufanyia kazi
  5. N

    Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

    Aaah ngoja tusubiri binafsi namuomba saana Mungu isipigwe marufuku make tayari nshawekeza saana kwa hii biashara na wadogo zangu wanaendelea kusoma kwa hii biashara
  6. N

    Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

    [emoji31] [emoji31] na wananchi wengi mtumba ndo nguo zetu haijarishi kipato ulichonacho
  7. N

    Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

    Habari naomba ujumbe umfikie mheshimiwa... Mimi ni binti yatima sina baba kakangu ndo kanisomesha tangu form one mpaka chuo kikuu kwa hii biashara ya mtumba nmemaliza chuo nmekosa ajira nmeamua kujiingiza kwenye hii biashara ya mtumba..alafu Leo hii nasikia unaifungia.. MUNGU WANGU TUEPUSHE SISI...
Back
Top Bottom