AminaaMmmh! Usijali ee binti kwa maelezo yako soon utapata mkombozi!
Aaah ronya mia 5Hamjafungiwa kuleta mkileta leteni nguo quality kama kenya sio ronya ya mia tano
Ukikamatwa Kweli Utapata Shida Ila Usipokamatwa Utapiga Hela Ya Maana Utabadilisha Mishe Hence Life Lako Kwa Ujumla,,,,lakin Unaruhusiwa Kuogopa Na Kuishia Kulalamika Jf Wakati Haitasaidia Na Utaendelea Na Ulofa Ulio Nao ,,,its Really Your Choice There Are No Riches Without Risks,,,,,so Grow A Pair And Get The Money If U Lose U Lose Bt If U Win Tho,,,Hukumbuki sukari ilikuaje? Walioficha sukari walifanyiwa nn?
Kwa muandiko huu umemaliza chuo Kikuu?Habari naomba ujumbe umfikie mheshimiwa... Mimi ni binti yatima sina baba kakangu ndo kanisomesha tangu form one mpaka chuo kikuu kwa hii biashara ya mtumba nmemaliza chuo nmekosa ajira nmeamua kujiingiza kwenye hii biashara ya mtumba..alafu Leo hii nasikia unaifungia.. MUNGU WANGU TUEPUSHE SISI WAJA WAKO AMINA
Si kila kitu lazima uchangie ukiona uelewi unapitaKwa muandiko huu umemaliza chuo Kikuu?
Sawa mtani...tena zinanitoa ile mbayaVipi mtani. Nawe ni mdau wa mitumba??
Hawa wanaozipiga vita hawajui kuwa ndio zinatutoa.Sawa mtani...tena zinanitoa ile mbaya
Ndugu yanguwee...hawa walio nazo wanatusahau kabisa sie kina yakheHawa wanaozipiga vita hawajui kuwa ndio zinatutoa.
Wanataka tuingie madukani wakati uwezo huo wengi wetu hatuna.Ndugu yanguwee...hawa walio nazo wanatusahau kabisa sie kina yakhe