Kibaya ni kwamba sayansi pia sio ya kuiamini kwani kuna uongo mwingi pia wanaongopa ili wanufaike na kitu fulani hivyo wana confirm vitu fulani vipo wakati sio kikubwa ni kwamba wanajifanya wamegundua kitu na watu wanaamin bila kujiuliza na ndipo watu wengi hawana critical thinking na reasoning
Kuamini ni suala binafsi ambapo kuwa atheist sio lazma muwe na society lakin ni ww kujua kuwa ww ni kila kitu na kila kitu ni ww na uishi kwa upendo sio kwa binadamu tu bali na kwa mimea na wanyama pia na mazingira yote yanayokuzunguka ambapo hayo yote ni ww mwenyewe ila umekua projected into...
Acha waangamie kwa kukosa maarifa kwasababu kila mtu anadai dini yake ndio ya Mungu wa kweli na pia kumuambia mtu ukweli kuwa mungu wa hizo dini zote hayupo anaona unakufuru basi hapo ni kuwaacha waendelee kuunywa mvinyo wa dini zao mpaka siku watakapoamka na kuyaona madhaifu ya dini zao.
Kwanza kabisa Mungu hawezi kumuua shetani kwa sababu roho iki exist haiwezi kufa milele kwa hiyo hakuna mwanzo wa dunia wala mwisho hivyo shetani alikuwepo yupo na atakuwepo na pia mungu na shetani sio viumbe ni energy na hizi energy zipo kwa ajili ya kubalance dunia kwa sababu vinategemeana na...
Hiyo inaonesha kuwa uko tied na roho yako yaani mwili wako na roho havitengani hasa wakati mwili wako uko unconscious ambapo inapelekea kile ufanyacho rohoni kufanya mwilini pia ndo maana unaota na kukifanya unachoota.
Pia bila kusahau sababu zingine ni
-kunywa maji mengi before bedtimes...
Vifo vingekuwepo hata hivyo vyote visingekuwepo mana kuna uchawi unaotokana na wivu pia kuna kafara za watu,majanga ya asili ko hata iweje watu wangekufa tu pia fikiria kama maendeleo ya sayansi na teknolojia yasingekuwepo kungekuwa na ukeketaji pia wajawazito wangekuwa hatarini, pia wanyama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.