Recent content by Nipo speed

  1. N

    Joseph Mrindoko wa wachokonozi azichana vibaya shule za English Medium

    shule za mchepuo wa kingereza zipo pia za serikali je hizo pia hazina maana? Ni kwamba kila mtu atachagua shule gani ampeleke mwanae kutokana na kipato chake na siyo kudhihaki kwamba hazina maana katika kutoa elimu.Mzazi ndiyo mwenye jukumu la wapi anapenda wanae wasome ikiwa uwezo anao.
  2. N

    Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

    Ni wazi kwamba marekani hawawezi kuchagua mwanamke kama rais hata Hilary clinton mzungu halisi pia alishindwa kwa Trump.Ni kwamba wanachagua mtu ambaye atakuwa na maamuzi magumu hasa pale kunapotokea changamoto za vita na masirahi ya uchumi wa marekani.
  3. N

    Makuzi: Kilio cha 50 Cent kwa mwanaye

    Tatizo lilianzia kwa mama kuhitaji pesa zaidi kwa ajili ya matunzo ya mtoto,Hata sasa mtoto ni mkubwa bado anapenda mambo rahisi kama mama yake jambo jema nikumuacha apitie misukosuko ya maisha yake ndiyo atajua maisha ni nini.
  4. N

    Olaf Scholz: Ujerumani itatuma silaha zaidi kwa Israel hivi karibuni

    Kama nchi inatengeneza siraha pia inategemea kuuza hizo siraha hiyo ni biashara,pia ni gharama kubwa katika kutengeneza vile wapi sehemu ya majaribio kwa maana nchi inaweza kukopeshwa siraha ili baadae alipe na pia huwapa mafunzo.Kwa mfano Iran anauza siraha katika makundi mbalimbali ya...
  5. N

    Nafikiri Israel Itapotezea kulipa Kisasi kwa Iran mpaka imalizane na Hizbola kwanza. Iran itawekwa kiporo kama Hizbola wakati wanashambulia Hamas

    Iran imepeleka moto Israel majibu yake itakuwa ya viwango vya juu sana,kwa sasa kwa anakusanya taarifa mataifa yale yenye makundi mengine ili atakapoingia iran hataipiga pekee yake maana kuna ngome zipo nje ya Iran ambazo ni zake.
  6. N

    Kwa mara ya Kwanza UN yawalaani Hamas - Katibu mkuu aongea kwa masikitiko unafiki umemshinda Dunia imejifunza kuwa utekaji sio tabia ya kibinadamu

    Hapo mateka hakuna wamekufa ndiyo maana hamas hawawezi kuruhusu kuwaona hao mateka wengi wamekufa.
  7. N

    Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

    Lisu yupo sawa kuongea hivyo,anaendelea kupitia changamoto mbalimbali na mtuhumiwa yupo pembeni anagonga mvinyo na kuwadharau wengine ni jambo baya.
  8. N

    Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

    Tatizo hezbollah wanarusha maroketi wakiwa eneo la raia kwa hiyo israel inatazama yanatokea wapi wakishajua ni kushusha mizinga hapo hapo.
  9. N

    Israel yasema imefungua ukurasa mpya wa Vita

    Hiyo teknolojia kama atawekeza kwenye magari na pikipiki zote zinazotumia battery itakuwa hatari sana.
  10. N

    Wajumbe wa Halmashauri kuu ya KKKT Dayosisi ya Kaskazini, someni hapa!

    Askofu huchaguliwa na wachungaji ndiyo huchagua askofu na waumini hawachagui askofu wala mchungaji hawachagui waumini.
Back
Top Bottom