Recent content by Nindo

  1. Nindo

    DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

    Kujadili kesi iliyopo mahakamani unajua madhara yake?
  2. Nindo

    DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

    Kifungu namba 114 (1) (d) (d) while a judicial proceeding is pending, publishes, prints or makes use of any speech or writing, misrepresenting the proceeding, or capable of prejudicing any person in favour of or against any parties to the proceeding, or calculated to lower the authority of any...
  3. Nindo

    DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

    Acha kupotosha umma. Ni kosa la jinai kuiongelea kesi iliyopo mbele ya mahakama na ikiwa haitojolewa maamuzi bado. Kifungu cha sheria namba 114 cha sheria ya Makosa ya Jinai, Tanzanai [Section 114 of the Penal Code, Cap 16 R.E 2019] kinatoa adhabu kwa kujadili case iliyopo Mahakamani.
  4. Nindo

    Jamaa nimemsamehe kwa ukweli wake mchungu. Mke wangu simuelewi

    Una uhakika akichepuka anatumia Condom?
  5. Nindo

    Jamaa nimemsamehe kwa ukweli wake mchungu. Mke wangu simuelewi

    Mpaka pale atakapokuletea Ukimwi ndio utaelewa ulitakiwa kuachana nae. Msaliti huwa hatakiwi ku survive
  6. Nindo

    Hivi ziwa Victoria limefika hadi Shinyanga?

    Hapo Iselamagazi kwetu
  7. Nindo

    Ndoa yangu inateketea

    Bro, kitendo cha kutokuhudhuria mazishi ya baba yako ni sababu tosha.
  8. Nindo

    The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

    Nimetoboa LST first sitting.
Back
Top Bottom