mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Lini maombi ya kujiunga law School hufanyika? Je inawezekana kuunganisha masomo yaani 2020 unapata digrii ya Sheria na kugraduate Desemba halafu januari ukajiunga na law school?
Kuunganisha haiwezekani,maombi ni October na wanaunganisha intake ya January na ya July.Vyuo vingi wanamaliza November hivyo huwezi kuwa na transcript by October.Wanafungua dirisha August mwishoni ukiingia kwa website yao utakuta.Lini maombi ya kujiunga law School hufanyika? Je inawezekana kuunganisha masomo yaani 2020 unapata digrii ya Sheria na kugraduate Desemba halafu januari ukajiunga na law school?
Asante kwa taarifa. Hivyo tujipange tu kuomba hiyo august kwa ajili ya intake za januari na July 2022! Ni mbali Sana huko Ila hakuna jinsi!Kuunganisha haiwezekani,maombi ni October na wanaunganisha intake ya January na ya July.Vyuo vingi wanamaliza November hivyo huwezi kuwa na transcript by October.Wanafungua dirisha August mwishoni ukiingia kwa website yao utakuta.
Ndo hivyo boss,form inspatikana kwenye website yao.Asante kwa taarifa. Hivyo tujipange tu kuomba hiyo august kwa ajili ya intake za januari na July 2022! Ni mbali Sana huko Ila hakuna jinsi!
Wakati umefika sasa kwa Uongozi wa Law School kuanzisha Utaratibu kwa Wanafunzi wa Law School kufanya Mtihani wa kuingia Law School badala ya utaratibu uliopo wa kuwapokea wote walioomba kwani wasio na sifa na uwezo ni wengi kutokana na Vyuo walikotokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa. Hivyo tujipange tu kuomba hiyo august kwa ajili ya intake za januari na July 2022! Ni mbali Sana huko Ila hakuna jinsi!
Nimetoboa LST first sitting.
Muongo huyoHongera sana nasikia huko hali sio hali disco kama zoteee
Muongo huyo
Hongera sana nasikia huko hali sio hali disco kama zoteee
Muongo huyo
Uhakimu huwa hausomewi but Soma kozi ya Sheria especially bachelor of laws (LLB) then uende law school ndoo unaweza ukawa na vigezo vya kuomba uhakimu mahakama wakitoa nafasiSamahan nilitaka kuuliza kama ukitaka kusomea uhakimu unatakiwa usomee nn ukiwa chuo mpaka kufikia uhakimu
Jaman naitaji msaada nataka kusomea sheria Nina one ya 9 naweza pata chuo kipi
AsanteUhakimu huwa hausomewi but Soma kozi ya Sheria especially bachelor of laws (LLB) then uende law school ndoo unaweza ukawa na vigezo vya kuomba uhakimu mahakama wakitoa nafasi
Mr ni PM tuongee!Jaman naitaji msaada nataka kusomea sheria Nina one ya 9 naweza pata chuo kipi