Mi ni mdada wa miaka 32, natafuta marafiki wanaojitambua wa jinsia zote wa kubadilishana nao mawazo wawe
na umri kuanzia miaka 33 na kuendelea.
Tuwasliane kwanza kwa Email nazeekasasa@yahoo.com kisha tutabadilishana namba za simu.Sihitaji comment za kijinga kama haikuhusu basi pita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.