Kama Kuna mtu anahitaji mimi napatikana Gongo la mboto, simu ni Infinix Smart 7, ila sitaki bei kama aliyosema mdau hapo juu kwa
Napatikana Gongo la mboto kaka
Samahani wakubwa nimeuza vitu vyangu kadhaa nimepata Shilingi elfu hamsini,
nahitaji hii Hela isipotee maana sijui nitapata lini Tena.
Naombeni wazo la shughuli ya kufanya Kwa kutumia kiasi hiki Cha Pesa na nipate faida.
Niweze kuweka akiba ya 2,500 Kila siku
Jinsia mwanaume miaka 28 Dar es...
Uti wa mgongo ndiyo maisha mkuu, katika umri wa miaka 27 nimepata tatizo kubwa kama hili.
Nadhani daktari au mtu mwenye hili tatizo pekee ndiyo anaweza kusimulia maumivu yake.
Ingekuwa ni labda tuseme nimepata ukimwi ningeenda hospital nianze kutumia ARVs.
Lakini hili tatizo mimi nimekuwa mtu...
Hello JF family.
Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine.
Sihitaji kazi ambayo itakuwa na mambo mengi, nahitaji kibarua cha kuniwezesha kumudu tu gharama za Chakula na sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.