Kuna jamaa wanaitwa Fine Homes wana miradi ya kujenga nyumba kwa bei nzuri sana na nyumba zao ni za kisasa kwelikweli kwa mujibu wa picha zinavyoonyesha kwenye instagram. Kuna mtu ambaye ameshafaidika na miradi hii ili kutupa uhakika wa uhalali wa miradi hii?
Pascal unahitajika sana kujulikana kwa kizazi hiki. wakipatikana interviewers makini wasio na harakana walio very matured unaweza kutoa madini mengi sana kwa ajili ya generation hii. Myles Munroe once said graveyards zina utajiri mkubwa sana sababu ya people who passed with so much ideas...
Bill ilikuwla inalipwa na serikali obviously maana hata security guards walikuwa wanalipwa na serikali. Mi nimeona bunduki live for the first time kwa mlinzi wetu alikuwa anaitwa Yessaya nakumbuka.
Tom amesoma na kaka yangu ambaye was two classes ahead of me. Mdogo wake mwenye kuvaa socks ndefu...
Apson walihama maeneo ya jirani na shule pale? Namkumbuka mdogo wake Tom tulikuwa darasa moja na mama yao alikuwa mwalimu pale. Basi dogo alikuwa wa kishua na ushua uliopitiliza yaani alikuwa anavaa sock nyeupe ndefuuu hadi magotini na ni mvulana yaani duh[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi...
Oysterbay primary ulikuwa class of? Mimi 1984 nilikuwa class 4 nakumbuka ndio tumehamia shule mpya kutoka kwetu Machame[emoji23][emoji23] aisee bonge moja la transform miaka hiyo
Masha alikuwa dadaake Makatta aliyefariki alikuwa mzuri balaa hata mama yao, rangi flani ya hela. Anna Mbagga dadaake Joms Mbagga na Terence Mbagga, very beautiful aisee. Kisa Kilindu mbona sio rika hilo lakini? But as well, pretty Kyusa girl na mdogo wake Anna Kilindu.
Kulikuwa na hao kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.