Recent content by NILIDANGANYWA

  1. N

    Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

    W Waziri alitembelea mashuleni akakuta walimu wa sayansi wanajitolea kwa muda mrefu tu, hivyo akayachukua majina yao na kufanya mchakato wa kuwaajiri, sasa wakipangiwa vituo kabisa kwa maana ya kutowaondoa katika vituo walivyokuwa wanajitolea kuna ubaya gani?!!!!
  2. N

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    CCM wanahaha kwani dalili zote za kupoteza mamlaka zipo wazi, sasa wanakuja na maigizo ya pwagu na pwaguzi. mwaka huu ni kuwabana ki M4C mwanzo mwisho. na mapepo ya KISISIEMU yote ni kuyakemea kwa jina la people's power
  3. N

    Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

    UKAWA ina safari ndefu ya kuifikisha Tanzania, huu sio wakati wa kurudi nyuma watanzania wanatamani kuona mabadiliko yanayotokana na upinzani na sio kuona ni vpi upinzani unadhibitiwa na kuvurugwa. UKAWA tunatarajia makubwa kutoka kwenu.
  4. N

    Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

    Upitishaji wa sheria hizi mbovu mbovu ndio maana Nchi za wenzetu huwa kinanuka tu. Waliokuwa wanaitikia ndioooo!! jana walikuwa wanaitikia tu kwani waliambiwa ndio kiitikio wanachopaswa kuitika, atakama inahitajika kupingwa, kwakuwa wamedanganywa kuwa sheria izi ni kwaajiri ya wapinzani...
  5. N

    SWALI KWA RAISI KIKWETE: Mbona OPERESHENI TOKOMEZA awamu hii imekuwa hatari zaidi ya mwaka ule 2013?

    ASKARI WA WANYAMA PORI katika wilaya ya Ulanga, hifadhi ya seluu kituo cha Mbuga kata ya Mbuga Tarafa ya mwaya wameanza utamaduni wa kuvamia kijiji cha Iputi na kutembeza kipigo kwa wananchi bila kuwapo na sababu za msingi. Siku ya Tarehe 25/03/2015 Askari hao waliingia kijijini hapo muda wa...
  6. N

    Celina Kombani aanza kukikwaa kisiki kuelekea uchaguzi wa 2015 jimboni Ulanga mashariki

    Celina kombani ni miongoni mwa wabunge ambao walipita bila kupingwa majimboni mwao katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Wapo waliosema/dai kuwa anapendwa sana na wapigakura wake ndiomaana hajajitokeza mtu yeyote kumpinga katika uchaguzi huo, wengi wa hao wanaosema hivyo ni wale wanaotoka nje ya...
  7. N

    Serikali ya Kikwete imefilisika rasmi!

    Sio chama tena hicho kimebaki sklepa tu. ndio maana kila mtu anachota chake anasepa
  8. N

    NAPE: Ziara za Mwigulu Marekani na Uingereza sio za chama

    Kuto kuwapo kwa mfumo thabiti wa uongozi ndio tatizo, kwani wamekosa kuwa na mgawanyo wa majukumu,Ndio maana leo utamsikia yule kasema hivi mwengine anakuja kukanusha, kutokana na hayo wamekuwa hawana msemaji wa chama, aliyepo ni jina tu hakuna anachokifanya, ndio maana utakuta hadi wanachama wa...
  9. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    NCHI hii masikin hana chake atafanyiwa kila aina ya unyama bila kujali ilimlada malengo ya wazito kutimia
  10. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    Katka nchi hii masikini wanatabu sana maana kilajanga ni lakwao. Serikali haiwajali kabisa
  11. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    Wanachofanya ni kuvi tesa vidagaa wakati misamaki mikubwa (majangili papa) kama akina kinana wametulia tu.
  12. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    Waliopata vyeo CCM wamefuzu vigezo ujangili, ufisadi, na madawa ya kulevya
  13. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    Kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ulanga ambaye ni diwan wa kata ya Mwaya tangu aende ktk vikao vya kamati ambavyo vimekwisha ijumaa hajarudi ktk kata yake hadi hivi sasa. Habari kutoka kwa watu wa karibu na diwani huyo zinasema kuwa diwani...
  14. N

    JWTZ, FFU, na TANAPA waleta majanga kwa wakazi wa tarafa ya Mwaya wilaya ya Ulanga

    Ili kuonesha ukomavu na sio kubahatisha ktk utendaji wa mambo, ilipaswa kuendesha operation bila kuwaathiri wasio husika, na kama hatujajipanga vizuri ni kheri kuacha hadi pale tutakapoona kuwa yafaa kutekeleza. Kuna watu watatu wamefikishwa ktk hospitali ya tarafa ya mwaya, kwa matibabu zaidi...
Back
Top Bottom