Nilijua tu lockdown haita chukua hata zaidi ya miezi miwili kwa kuhofia uchumi
Mulemule anako pita raisi wetu ndio mume ludi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine tumejiendekeza wenyewe kuwafadhili watalamu wetu wa ndani hatuwezi badala yake siasa zinatuchukulia muda wakati vipa umbele ni watalam.Siku ya siku hatuwezi zalisha chanjo ya aina yoyote, Ni kweli kama huwezi kuimba cheza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongera p.kagame umezingatia maslahi ya walipa kodi ambao niwengi, kwakusitisha mishahara kwa wafanya kazi wote . Binafsi madoctor na manesi hao wape mishahala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mashaka na congo kwa nini ikubali chanjo ifanyiwe majaribo kwake, wakati obama mwenyewe haja unga mkono chanjo kufanyiwa Africa nazani anajua mazara yake ni makubwa hapo badae. Africa siku tukiwa na sauti mmoja kila kitu kitakwenda sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si furahii kwa mataifa ya africa kuendelea kupata huu ugonjwa, ntaliombea bara langu la Africa, lakini kwa hawa mabeberu walio ifikisha hapa africa wana vuna walicho panda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ili dunia iepukane na hili gonjwa lazima maitaifa ya magaribi na baba yao america waache mara moja kuinyonya Africa.waiondolee vikwazo zimbabwe, wa achane na kampeni ya ndoa ya jinsia moja na kubwa kabisa amri kumi za MUNGU zifatwe.Kwa hayo mkiyafata mtapona.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.