Tatizo katika mita ya maji

Kiminyio 01

JF-Expert Member
Aug 3, 2018
1,351
1,930
Ni muda sasa yapata takribani miaka 07 tangu nianze kutumia mita hii, mwaka 2019 nlibadilisha kampuni inayohusika na usambaji wa maji, binafsi si mtumiaji mkubwa wa maji.

Tatizo linakuja baada ya kuhamia kwa msambaji mwingine ndani ya wiki tu natumia uniti si chini ya tatu, ndani ya mwezi mmoja najikuta nimetumia uniti 13_17, kiwango ambacho si cha kawaida.

Kwangu minimum huwa natumia uniti moja tu wakati mwingine hupita miezi miwili nimetumia uniti hiyo hiyo moja.

Kwa mliopitia kadhia hii mliiepukaje maana gharama kwangu zinakuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muda sasa yapata takribani miaka 07 tangu nianze kutumia mita hii, mwaka 2019 nlibadilisha kampuni inayohusika na usambaji wa maji, binafsi si mtumiaji mkubwa wa maji , tatizo linakuja baada ya kuhamia kwa msambaji mwingine ndani ya wiki tu natumia uniti si chini ya tatu,ndani ya mwezi mmoja najikuta nimetumia uniti 13_17 , kiwango ambacho si cha kawaida,kwangu minimum huwa natumia uniti moja tu wakati mwingine hupita miezi miwili nimetumia uniti hiyo hiyo moja kwa mliopitia kadhia hii mliiepukaje maana gharama kwangu zinakua kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unit 1 za maji ni sawa na Lita 1000 hapo jiulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muda sasa yapata takribani miaka 07 tangu nianze kutumia mita hii, mwaka 2019 nlibadilisha kampuni inayohusika na usambaji wa maji, binafsi si mtumiaji mkubwa wa maji , tatizo linakuja baada ya kuhamia kwa msambaji mwingine ndani ya wiki tu natumia uniti si chini ya tatu,ndani ya mwezi mmoja najikuta nimetumia uniti 13_17 , kiwango ambacho si cha kawaida,kwangu minimum huwa natumia uniti moja tu wakati mwingine hupita miezi miwili nimetumia uniti hiyo hiyo moja kwa mliopitia kadhia hii mliiepukaje maana gharama kwangu zinakua kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je mita ni hiyo hiyo, au ulibadirisha na mita?
 
[Mwite fundi bomba kama kuna uvujaji wa maji / leakage huenda maji hupotelea ardhini, post: 34584092, member: 498404"]
Ni muda sasa yapata takribani miaka 07 tangu nianze kutumia mita hii, mwaka 2019 nlibadilisha kampuni inayohusika na usambaji wa maji, binafsi si mtumiaji mkubwa wa maji.

Tatizo linakuja baada ya kuhamia kwa msambaji mwingine ndani ya wiki tu natumia uniti si chini ya tatu, ndani ya mwezi mmoja najikuta nimetumia uniti 13_17, kiwango ambacho si cha kawaida.

Kwangu minimum huwa natumia uniti moja tu wakati mwingine hupita miezi miwili nimetumia uniti hiyo hiyo moja.

Kwa mliopitia kadhia hii mliiepukaje maana gharama kwangu zinakuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom