Hii issue ya watu wa kaskazini kujitenga ilishawahi kuongelewa na mbunge wa ARUMERU.......Inawezekana kukawa kweli na ajenda hiyo......lakini WATANZANIA TUNAOMBA MUNGU ISIWE HIVYO.........
Jamani si ni Masha huyu aliyekuwa anashutumiwa na makamanda kwa kupiga dili katika mchakato wa vitambulisho wa taifa...na matumizi mabaya ya ofisi....leo makamanda hao hao ndio wako front kumtetea....
Shujaa wangu wa ukweli ambaye alikuwa na uhakika wa kura yangu UKAWA alikuwa ni DK SLAA tu ,huyu mwingine naona kama tumeuziwa mbuzi kwenye kiroba tu........
Kitu pekee kinachotufanya wanadamu tupotoke ni kwa kuwa tumejitoa kwenye mikono ya MUNGU.....Hatutambui tena neema za MUNGU na ndio maana tunaenenda kama wanyama mwituni....tumejiweka mbali na baraka za Mungu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.