Recent content by night_shadow

  1. N

    Maandalizi ya shughuli au sherehe ya Engagement: Nahitaji Ushauri Wenu

    Natoa na mahari kabisa shukrani nashukuru kuna mahali nimejiona kweli huenda mimi ndio namkosea
  2. N

    Maandalizi ya shughuli au sherehe ya Engagement: Nahitaji Ushauri Wenu

    Nina mpenzi wangu ambaye natarajia kabisa kufunga naye ndoa, lakini kuna mambo ambayo naona yanakwenda kinyume na matarajio yangu. Kibinafsi, sipendi kufanya sherehe za harusi zenye gharama kubwa ambazo mara nyingine huwa ni israfu. Hata hivyo, mpenzi wangu ni mtu ambaye anathamini na kupenda...
  3. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pia mimi naenda kesho nadhan jumatatu tutakutana kwenye majengo ya serikali
  4. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi hapa naona pale kwenye panel wanachoangalia kama wewe una uwezo au moyo wa kufanya kazi watakudodosa sana kuhusu experience yako au kama hata umejiingiza kwenye program zinazohusu kada yako + kama hata unafanya internship mahali Kingine wanaangalia kama unajua tu basic terms kwenye hiyo...
  5. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    wewe mzee tupo kwenye tasisi moja nimebadili ID tu Barua unafuata au unasubiri itumwe kwenye anwan
  6. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    ni ukweli ndio maana hata mimi nimemwambia elimu ya sekondari amention tu ila kwa upande wa chuo aelezee kidogo
  7. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Natoa ushauri hapa kama una experience sana kwenye education background anzia pale ulipoanza kupata professional skills yaan kama kuanzia chuo hivi mpaka sehemu ambap upo sasa plus unapojielezea hakikisha una rely na vitu vinavyohusu kazi uliyoomba hata kama hutoweza ku include vyote...
  8. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    new member mzoefu hapa tunaosubiri Juice ya heslb updates? coz now ajira.go.tz nimepafanya kama home
Back
Top Bottom