RC Ni cheo Cha kisiasa kwa hiyo hakuna tatizo. Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi kisiasa, kijamii na kiuchumi kimkoa ni Mkuu wa mkoa hata hata kama Kuna mkiti wa CC mkoa mwenye power ni Mkuu wa mkoa.
Kwa Tanzania hakuna mpinzani wa kweli bali maslahi tumbo.
Dr. Wilbroad Slaa wkt wa late JPM alinunuliwa akakisaliti chama chake na kuunga juhudi upande wa pili. Muangalie Dr. Slaa wa leo anaekuja kwa jina la sauti ya WATANZANIA!. Unafiki na uzandiki mtupu.
Kwa Africa vyama vingi Kama sio vyote vipo kwa ajili ya maslahi tumbo.
Muangalie Kabwe Zito kwa sababu ya shibe aliyonayo Zanzibar Kama cku hizi anaongea chochote Cha kuikosoa Serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.