Recent content by Nicole_un

  1. N

    JamiiForums Tanzania Jina la huu mmea kwa watu wa kanda ya ziwa

  2. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Situmii pombe wala nyama nyekundu😥😥
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Hamna😂😂sema mi nataka kuongezeka kidogo aisee make kila mtu ananikna mwembamba mara mmekonda
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    170cm...au nseme 5'6
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Mazingira yanaruhusu sema ndo hvyo nikila kidogo tu nakua nshashiba ani,nkitaka nile vizuri mchana basi asubuhi nabid nisinywe chai...nkinywa chai mchana nkija kula nakula kidogo
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    5'6
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Mmi urefu ndo unaniongezea kilo ani but ni mwembamba over
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Kwa upande wa bi mdashi wote wabonge sema watoto wa bimdashi sote ni wembamba
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini niongezeke uzito?

    Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani. Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
  10. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    Asante,nimepata ndio
  11. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    Asante.Nlifanyikiwa kuomba chuo kingine kwenye third round bila kucancel Wala kucomfirm na nimepata
  12. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    Sawa, Asante
  13. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    Thanks make Aise, Asante sana make hicho ndo nlicholenga kuuliza haswa
  14. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    I guess hukuelewa,first selection unaweza kuapply vyuo zaidi ya kimoja!na ndicho nlichofanya! Nliapply vyuo vinne na napata kimoja ambacho hakikua my priority among those! That's why mmeuliza if it's possible kuapply Tena nkapata regardless ya kuchaguliwa hicho chuo kimoja tu!!! Na sio issue za...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye machaguo ya Vyuo

    Hello, nlikua nahitaji msaada! Hivi kwa mfano uliappy first selection ukapata chuo kimoja tu ko selection ako ikaja comfirmed, still unaweza kuapply in second selection kuona ka utapata in case hicho chuo hujakipenda na ukapata bila kuicancel au kucomfirm hiyo first selection yako? Au bila...
Back
Top Bottom