Watu Kama nyie mna mchango mdogo sana kwa Taifa hili, Kama sifa hizi unazitoa kwa Huyu Je Hayati Benjamin William Mkapa atapewa sifa gani kwa aliyo litendea Taifa hili?
Mwalimu Nyerere Je?
Jambo asilolijua Kijana mwenzangu ni kuwa wakati anapambana kuinua familia yake atazame nyuma ili aone ni nani mwingine anaye pambana kwa akiji ya familia yake? Kama hakuna basi atambue kuwa anafukuza upepo,
Siku akishindwa kupambana wale alio wapambania hawataweza kumpambania.
Jipambanie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.