Siku tukiacha kuchagua chama badala ya kuchagua mtu ndiyo siku tutapona , haiwezekani lichaguliwe lizezeta kisa ni ccm au chadema ndiyo maana hatuendelei kisa uvyama ...upande wangu ukiwa smart sijali unatokea pande ipi utapewa ndiyo
Hii issue ukiifuatilia kupitia kwenye tv na redio utadhani ndivyo lilivyo lakini ukiingia deep inside kuna kitu secret service inakifaham wala siyo bahati mbaya
Pia na waliopewa madaraka wayatumie vizuri kwa wanaowaongoza mavyeo kujikusanyia mahela ya wizi viburi na majivuno ya vina mwisho wake .Wananchi ni watu wema sana ila wanaowaongoza baadhi busara imewapungukiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.