Recent content by nicnicholos

  1. nicnicholos

    Mnunuzi wa pilipili hoho

    Nipo mwanza naomba kufahamu wasambazaji na wauzaji wakubwa wa pilipili hoho tufanye biashara. 0755426943 Kama upo tuwasiliane mapema iwezekanavyo ndugu... (Popote ulipo)
  2. nicnicholos

    Mnunuzi wa pilipili hoho.

    Nipo mwanza naomba kufahamu wasambazaji na wauzaji wakubwa wa pilipili hoho tufanye biashara. 0755426943 Kama upo tuwasiliane mapema iwezekanavyo ndugu... (Popote ulipo)
  3. nicnicholos

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mwenye pdf ya mwanza - ilemela MC anisaidie ndugu zangu
  4. nicnicholos

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hv ile issue ya kuhuisha jinsia ilikuaje, me leo ndo naingia tena kwenye account naikuta alafu inagoma msaada tafadhari kwa wanaofahamu kuhusu hilo
  5. nicnicholos

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Kwahiyo umefanya nini apo ndg!?
  6. nicnicholos

    Ajira 17,412 kwa kada za Elimu na Afya zatangazwa. Wananchi wenye sifa wahimizwa kuomba nafasi

    Mbona kiswahili siioni au ni kwangu tu waungwana...!?
  7. nicnicholos

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Mbona ni kama kiswahili siioni au ni kwangu tuu waungwana
  8. nicnicholos

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Hivi ukitimia simu huwezi ee..!? Maana mie hiyo jisajiri iliyopo kulia ata haionekani
  9. nicnicholos

    Ajira Portal

    Jamani swala la vyeti kuhakikiwa mahakamani ni muhimu au lazima..!?
  10. nicnicholos

    Naomba kufahamishwa Shirika la kujitolea la kijamii Mwanza

    Habari za wakati huu, napenda kufahamu mashirika ya kijamii ambayo mtu anaweza kujitolea huko yaliyopo jijini meanza na jinsi ninavyoweza kujiunga au kuyafikia huko. Mfano: Mashirika yanayojihusisha na jinsia, watoto, maendeleo, n.k
  11. nicnicholos

    Ni ipi biashara inayolipa vizuri kati ya zifuatazo?

    4 ila mbinu tu utakazotumia kupata wateja na aina ya simu itafanya ule pesa sana tuu
  12. nicnicholos

    Naomba msaada ndugu zangu nipate kazi ya ualimu nipo Mwanza

    4.0 then vyuo kama vipi ndugu.!?
Back
Top Bottom