Wapo makocha wenye mkosi mbaya na wakuchekesha kwa uwezo wanakuwa nao lakini sijui huwa wanakosea mara kwa mara huanza vizuri ila umaliza vibaya
Mimi namtaja Jose Mourinho. Huyo kocha kati ya timu alizoziharibu ni Chelsea Man u
Je mwingine ni nan?
Hellow..
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne nina divison 2 ya point 19 physics nimepata D chemistry B biology C math C Geography C
Je. naweza kuchaguliwa kwenda advance kwa combination gani?
Chagua siku ambazo ulikuwa unazipenda ulipokuwa shule
1. Mwalimu wa math ameenda kujifungua au anaumwa
2. Mmetembelea shule nyingine
3. Kuna wageni kutoka shule nyingine
4. Kuna mashindano ya UMISETA
5. Mwalimu wa physics na chemistry anaumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.