Nicksoni Audax
Member
- Dec 27, 2020
- 5
- 6
Wapo makocha wenye mkosi mbaya na wakuchekesha kwa uwezo wanakuwa nao lakini sijui huwa wanakosea mara kwa mara huanza vizuri ila umaliza vibaya
Mimi namtaja Jose Mourinho. Huyo kocha kati ya timu alizoziharibu ni Chelsea Man u
Je mwingine ni nan?
Mimi namtaja Jose Mourinho. Huyo kocha kati ya timu alizoziharibu ni Chelsea Man u
Je mwingine ni nan?