Unaweza kumwelezea Mungu nje na vitabu vya dini?...au specifically nje ya biblia...bila ya hizo dini za kikoloni isingekuwa na Mungu...ninachoamini Mungu yupo ila sio huyu wa kwenye vitabu vya dini
Boss mbona unatoka nje ya maada?..nani kasema pathology sio Pana...au aliyesema animal science anasoma yote hayo ni nani?... nimekwambia animal science anasoma basic clinical pathology kama ilivyo kwa VetMed au vet lab anavyosoma basic animal nutrition...mbona unacomplicate vitu boss
Rafiki...
Naona unaleta hadithi nyingiii na unatoka kwenye maada...sijasema animal science anasoma pathology in details kama anavyosoma mtu wa VetMed...but Nina uhakika wanajua japo ABC za pathology coz tunao huku field...vivyo hivyo mtu wa VetMed hasomi animal nutrition au feeds processing in details...
Mkuu sijajua ila inawezekana unaweka self interest...nilishare baadhi ya course work na watu wa Animal science na hata huku field tupo nao..hata ukifungua module ya coz yao kwenye prospectus ya SUA wanasoma kitu kunaitwa animal diseases and management (pathology) japo haipo in details na ndo...
Animal nutrition anayosoma mtu wa Animal Science sidhan kama ni sawa kwa details kama anayosoma mtu wa VetMed, agriculture general..animal health au biotechnology....hata animal science wanasoma physiology.. anatomy.. clinical pathology na hata entomology..lakini huwezi kuwalinganisha na VetMed...
Boss unazungumzia anima science ipi...kama ni hii ya SUA basi watakuwa wanafeli mahali. Yani graduate wa animal science ashindwe Kufanya proximate analysis ya chakula...ashindwe Kufanya formulation ya chakula...ashindwe Kufanya quality analysis..ashindwe Kufanya research za formula mbalimbali...
1.Bidii..(juhudi zako, maarifa Yako, uendaji kazi wako)
2.Bahati..(Mungu alivyo kupangia)
3.Watu wanaokuzunguka (familia...marafiki..wafanya kazi wenzio..kiufupi connection)
Hivi vitu vinatakiwa vibalance perfectly ndo pesa ikutembelee...unaweza ukawa na bahati but kama huna bidii na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.