Recent content by nicholoow

  1. N

    Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

    Hakun ki2 cha kukuzuia ww labda mwenyew kaa chin fkr kam alifanya kusudi au ilikuwa ni kwasababu ya
  2. N

    Wanaume wa kabila lipi wanaongoza kwa kuhonga Tz

    Mapenz c pesa japo wakat mwingie inanafas yake!
  3. N

    Mapenzi ni kitu gani?

    Ni mahusiano baina ya watu wa2 wenye jinsia mbil tofaut nayo mahusiano hubebe vtu vingi ikiwemo uvumilivu na mambo meng yanayohusu mahusiano kwa ujumla,,,na micng muhim ya mapenz ni LAZIMA uwe mkwel,muwaz kwa mwenzako,kuheshimiana,kuvumiliana n.k ni ivo yaan navooelew
  4. N

    Utaratibu ukoje ambao hawakuripoti chuo mwaka jana?

    Ufaulu kwa waliomaliza mwaka Jana unaanzia C mbili ktk kombination ake awe amepat ivooo na kam ni mwaka uu ufaulu wa kwenda chuon unaanzia D mbil ktk combination ake
  5. N

    Utaratibu ukoje ambao hawakuripoti chuo mwaka jana?

    Utaratibu ni uu aendechuon alipopangiwa aombe form kutoka chuon zen aipeleke TCU ikiambatanishwa na yake binafsi tofaut na ya chuo ikieleza kwann hakwenda chuo kwa mwaka wa masomo 2015/16 na kam n mkop hakutumia hat sent tano ataaply upya
  6. N

    Wapenzi kukutana mitandaoni wanakuwa na mapenzi ya kweli?

    Kazi IPO kwako kam ni ujogoo kausha !!!
Back
Top Bottom