Neno mgombea wa ccm ni chaguo la Mungu tuliambiwa mwaka 1995 wakati Kikwete anagombea. Matokeo yake kaiacha nchi katika hali isiyokubalika. Mungu anapenda watanzania wawe maskini? Haikubaliki hii dhana, tunapaswa kuhoji. Mgombea nani ni chaguo la shetani? Kikwete muogope Mungu.
Kwa kweli Dr Bilal anamsimmo tofauti na ccm, sijui kwa nini hakusoma alama za nyakati.Kwanza aliotuliwa kuwa mgomba menza,aikuwa amechukuafomu ya urais wa Zanzibar. Hkujua kuwa anayependekezwa na kuchaguliwa kuwa mgombea hashiniizwi kumteua awe mgombea mwenza?
Kwa kweli inauma sana. Kule Malamba wamekuja na watu mia tano kwenye computer wakaojiwa ni watu wa wapi hao maana hawajulikani katika mtaa huo. Ikabidi wanafute chini ya usimamizi wa UKAWA.
Naomba tuwe tunafuatilia hili zoezi la uandikishaji.
Nimepata taarifa kuwa kuwa watu wananunua kadi za wapiga kura na wanaomba picha mbili na huyo mtu anatoa shilingi 1500 za kitanzania.
Watanzania hatujafika hapo, kuuza kadi ni sawa na kuuza uhuru wako. Tubadilike watanzania. Hii ni habari ya kweli na inafanyika maeneo ya ubungo, Mabibo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.