Wakuu habari zenu.
Mimi naomba msaada kwa anayejua ni maeneo yapi ambako naweza fit kwaajili ya kufanya field ya bachelor of science in applied biology kwa mbeya au Arusha.
Msaada please kama utakuwa na idea naomba ushee nami🙏✍️
Alaaaaaa!unakwama wapi kaka 🤷? huyo ni wakuacha immediately atakuja kukusumbua zaidi uzeeni kama ukikaa naye.
Yaani Dah! hadi ile kitu anakataza wanini sasa humo ndani kama sio kufuga problems.
Labda alikuwa anakupima uwezo wako wa kufikiri juu ya kila anachokisema ila ukapelea🤔
Akaona acha akomboe chake mapema kabla hujamfanya millionea kutoka ubillionea🤔
Nawaza tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.