Acha chuki hakunaga cku debe limefika 2500 kwa mahindi gan yakufika bei hiyo kwa gharama zakilimo zilivyo juu na ardh ilochoka mahindi yafike 2500 kwa wingi upi ulikosea kusifu sana na kukashifu sana bila kubakisha maneno
Tunza maneno
Usimwamini mwanadamu mwenzako haya leo kakugeuka
Ulichokosea...
8×6=48 uko tanzania gani wew
Gunia la mahindi uku 35 maana yake ni debe eld 5 na 500 hakuna chanafuu kama debe lilifika 20 iweje lirud had 8kwo maendeleo hatua 1 mbele afu kumi nyuma bado unamsifu mtu😀😀😀😀
Naikumbuka yan naijaza kwa email au namba ya cm jibu ni moja tu mbaya zaid mata ya mwisho nilikuwa naitumix kwenye cm mwez wa 3 nkachange cm
Bdo wanadai haipo
Yan nliweka documents zangu google drive sjui itakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.