Recent content by Niariula

  1. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada Niweze kuacha Kamari ya Aviator, Maisha yangu hayaendi vizuri, Kamari hii Inataka kunitoa Roho

    Mkuu jaribu tiba hii kwanza kabisa kinachokutesa ni pale unapokuwa tayari umeshaliwa unapata maumivu na uchungu wa kutaka kupambana mpaka urudishe hela yako iliyopotea na kwa bahati mbaya kadr unavyopambana ili urudishe ndivyo inavuzidi kupoteza na kuzidisha maumivu Fanya hivi mkuu kwanza kabisa...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Pole sana mkuu Dawa ha Pole sana mkuu Dawa hapi ni kukubali kwamba umeshapoteza na haziwezi kurudi tena samehe kabisa na isahau usitake kupambana zirudi kadri utakavyojaribu kucheza ili urudishe ndivyo unavyozidi kuliwa na mwishowe kuwa mraibu kabisa
  3. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Pole sanamkuu mi naomba nikupongeze kwa hatua kubwa ya kuweza kiacha hii michezo ni rahisi sana kuingia ila kutoka ndio huwa mtihani mkubwa sababu wengi huamini atazirudisha
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Asante sana mkuu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Asante sana mkuu mimi ni Me boss
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Asante sana
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Asante sana mkuu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Habari zenu wakuu Mimi ni mwanachama mgeni nimejiunga siku za karibuni ila nimekuwa msomaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu sasa
Back
Top Bottom