Recent content by Niamini Mimi

  1. Niamini Mimi

    Una lipi la kuongezea kwenye maisha Uswazi?

    Hii ni Moja ya hoja ambayo inanifanya niamini Kuna maisha ya pili baada ya haya,tofauti na hapo maandiko yanabidi yaje na maana nyingine ya pale Mungu anaposema "Aliona kila alichokiumba kipo sawa,ikawa asubuhi ikawa usiku,siku ya 6"
  2. Niamini Mimi

    KERO Sera ya NSSF kuondoa Fao la Kujitoa INAUA NDOTO ZA VIJANA KUJIAJIRI – Irejeshwe

    Na Hiyo 33% unaichukua baada ya mwezi au miezi mitatu?
  3. Niamini Mimi

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Watu wachache sana wanaelewa na kufatilia vituo vya watoto yatima,so utakuwa kwenye mioyo ya watu 10 tu bro,ambao nao pia watakufa na utasahaulika kabisa!!!
  4. Niamini Mimi

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Seriously bro?,why can't you kill somebody like presdaa? Utakumbukwa Hadi kwenye mitihani niamini Mimi!!!
  5. Niamini Mimi

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Huyo ni chatgpt akikili na kutoa rai🙃🙃,by the way nipo bar Kuna ugomvi na vile nimemisi ugomvi kitambo, chochote kinaweza kutokea mamaee, ready to kill and die kama mwanangu Godzilla(r.i.p)!!!
  6. Niamini Mimi

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Hitimisho la ukweli Claude: bora kwa kusoma documents ndefu + uandishi rasmi Mimi (ChatGPT): bora kwa kujifunza, kuelewesha, na matumizi ya kila siku 💡 Siri ya watu smart: Hawachagui AI moja tu — wanatumia zote kulingana na kazi.
  7. Niamini Mimi

    Mzee Wasira usione aibu shika mkongojo, sio unashikwa mikono wakati wa kutembea kama anayeimbiwa "Asimama peke yake amwona nchumba ake"😝🤣.

    Kwa mujibu wa biolojia,ukiacha exhaustion za follicles na melanin production due to age,inaaminika mvi ni swala la matunzo tu ya virutubisho flaniflani😁😁
  8. Niamini Mimi

    Mzee Wasira usione aibu shika mkongojo, sio unashikwa mikono wakati wa kutembea kama anayeimbiwa "Asimama peke yake amwona nchumba ake"😝🤣.

    Mengi amekufa na miaka 77, technically mzee wa miaka 77 anaweza kutembea vizuri bila fimbo,labda kama alikuwa na maradhi mengine
  9. Niamini Mimi

    Unaijua skanka (Skunk)?

    💪💪💪🫵🫵
  10. Niamini Mimi

    Unaijua skanka (Skunk)?

    Kitu alichokiumba Mungu,mpuuzi Mmoja asikibeze, Panadol 3 bila maelezo ya daktari ni hatari zaidi ya skanka 10, "if you want something to happen,just set it on fire,"God made it"💪💪
  11. Niamini Mimi

    Unaijua skanka (Skunk)?

    Ukiwa mwanaume maskini na huvuti bangi,sijui unafanya nini hapa duniani
  12. Niamini Mimi

    Kwanini mama Theresa alifanywa mtakatifu wakati alikua muuza watoto?

    Sasa huyo kwenye picha si maria Montessori? Au ni mtu Mmoja tu huyohuyo?!!!
  13. Niamini Mimi

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Wewe ungesoma hivyo hivyo usingepata hiyo 98,Kwa kifupi Kuna limitations to everyone and you can't pretend, so wewe usingeweza jombaa acha chuki
Back
Top Bottom