Recent content by Niamini Mimi

  1. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Dudu baya: Amvaa vikali Profesa J kupewa Milioni 30 na Rais Samia. Unatumia ugonjwa kupata fedha, wakati waTanzania wanamaisha magumu

    Nchi ya ajabu sana hii,so Rais akitoa pesa Kwa prof ni sawa ila akitoa Kwa Simba na yanga si sawa?Kuna kipindi mwendazake meko alikuwa anatembea na mabegi ya noti anagawa huko mtaani watu wakahoji hizi pesa ni zipi tena?,Kimsingi pesa yoyote kupewa mtu yeyote au kikundi chochote direct from...
  2. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Miaka 25 ya umri mtu ni kapteni na kashatoa roho za watu kibao,anarudi zake Pentagon anakuwa kanali,huku bongo mtu ana miaka 30 bado ni ruteni usu na hata ugomvi wa mtaa hajawahi kushiriki!!!
  3. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwa nashindwa, wanaume wa JF wanatongozaje wadada wasiowajua?

    Achana na hizo bond za maandishi,nlishawahi kuwa na bond na sauti ya mdada flani hivi Kwa simu bila kumjua,siku nlokutana naye ndo siku nlijifunza the hard way Kwa hawa watu-fiche hasa wa mitandaoni 🚮🚮 Ila yote Kwa yote sisi wanaume ni mafisi iko wazi!!!
  4. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nawashwa sana kwenye makalio, nimetumia SKDERM Cream bila mafanikio

    Platinamu memba🤔🤔
  5. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Nyama ya Kenge ni kitoweo kitamu sana!

    Hiyo niliila kipindi flani nipo depo kwenye mapori ya malela ruvuma huko,nakili kuwa ni tamu sana ila lazima iwe na pilipili nyingi hivi,naungana na secretarybird Kwamba Mwachiluwi na Leejay49 watuongezee mautundu kwenye haya masapta sapta ya kikush!!!
  6. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Kwani huyo nnanauka anakidhi vigezo vya umri?
  7. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Nipo Zanzibar muda huu,kuna muhindi - mswahili hivi Hilo neno "ushanifahamu" lazima ulisikie akiwa anaongea!!!
  8. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nanauka: Serikali inatazamia kuanzisha benki ya Vijana

    Nliwahi kwenda hapo,zamani za 2017 nlivyomaliza advance tu,nlipewa hisabati za hatari na mdada flani hivi mwenye figa tata,ni kama walikuwa wananifukuza kabisa hivi!!!
  9. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Tusubiri Setfree atoke kanisani,tuone atakuja kuungana na Rebeca 83 kupangua hoja au atakuwa refa tu!!!
  10. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Sema hapo ungevaa hata Uzi wa aseno tu mkuu,huu ni wa gharama sana asee!!!
  11. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Amkeni amkeni,moshi mweupe umeonekana huku🤣🤣🤣
  12. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    😁😁😁
  13. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Watoto uliowazaa na kuwalea sio retirement plan, endapo wametokea hawajakusaidia usilalamike

    Weka nyama mkuu,kuzaa ni responsibility kivipi?!!!
Back
Top Bottom