2021 hapo bakhresa siku ya kwanza kabisa na ya mwisho,tushabwia pombe Kali ya 2000 double kick,nipo na mwanangu kanjo,viroba vya pumba kilo 30 vinashuka kama vinamwaga huko juu,Mimi nikaambiwa niwe kijiko yaani wale wanaowabebesha wengine viroba,mwanangu anabeba viroba akapange stake huko,night...
Mimi napenda aina ya ugomvi wa mtu wakuitwa @Erythrocyte,sijui ni wakike au wakiume yule,anakujaga na mada za siasa tu zimekaa flani hivi kumprovoke mtu,halafu yupo full mkoko akiamini atapata tag huko mbele,then ghafla katikati ya ligi anatoweka anawachia nyie🤣🤣,Sema namkubari sana mwamba wa...
Amwache tu,hakuna ushauri tofauti na huo kwenye fumanizi mkuu,hata bachelor Jesus aliwahi kusema"usimwache mkeo Kwa kosa lolote lile ila uzinzi"Hilo halina comeback Wala kutuliza akili!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.