Hii Dunia ya Mungu ilikuwa na amani tu alipokuwa adamu peke yake pale bustanini,japo nyoka alikuwepo pia,lakini kila kiumbe kilitambua mipaka yake,
ghafla akatokea Hawa,huyu kiumbe akaja akaharibu kila kitu,akapiga colabo na nyoka wakaharabu amani ya Adam
mwamba akaambiwa ataenda kulima na...
Kimsingi jamii za pwani,uzaramuni,umakondeni na kwingineko huko,Wana mifumo ya ajabu sana ya malezi,kesi kama hizi ni lazima usikilize pande zote 2,na unaweza kukuta malezi yalichangia pia,sema mara nyingi watu wanapenda kwenda kihisia tu na kumuhukumu ana aliyemalizia!!!
Usipende kulisha watu maneno hakuna sehemu nimesema HAKUMLEA KWA UPENDO,Mimi naungana na police mpaka uchunguzi ukamilike,ila nilikuuliza wewe unayesema kamlea Kwa upendo Umejuaje,na kwakuwa umetoa jibu la kijinga Kwamba ni umeamua tu,basi sawa hatuna haja ya kuendelea kujadili!!!
Kipimo pekee Cha kulea mimba Kwa upendo ni kufata maelezo yote kiafya Kwa mjazito kitu ambacho hatujui kama kafuata au lah,maana hata walevi wanazaa pia!!!
Mimi sijadhani kama hakumlea Kwa upendo au lah,ila wewe ndio umesema amemlea Kwa upendo,na ndio nimekuuliza Umejuaje,maana sio ndugu yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.