Recent content by Niamini Mimi

  1. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Much respect mkuu Parabolic
  2. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Ni fifte uno 😁😁!!!
  3. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    We jamaa🤔🤔,hapo labda vumbi tu na ubwabwa kwa njuju🤣🤣🤣!!!
  4. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kwani ulaya Kuna baridi mwaka mzima?!!!
  5. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kama umefika njombe,basi utajua mahenge ni pa kawaida sana mkuu!!!
  6. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Mafinga/mufindi ni Iringa
  7. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Hii Dunia ya Mungu ilikuwa na amani tu alipokuwa adamu peke yake pale bustanini,japo nyoka alikuwepo pia,lakini kila kiumbe kilitambua mipaka yake, ghafla akatokea Hawa,huyu kiumbe akaja akaharibu kila kitu,akapiga colabo na nyoka wakaharabu amani ya Adam mwamba akaambiwa ataenda kulima na...
  8. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Ni kweli,ila ukanda wa pwani ni special case mzee!!!
  9. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Kimsingi jamii za pwani,uzaramuni,umakondeni na kwingineko huko,Wana mifumo ya ajabu sana ya malezi,kesi kama hizi ni lazima usikilize pande zote 2,na unaweza kukuta malezi yalichangia pia,sema mara nyingi watu wanapenda kwenda kihisia tu na kumuhukumu ana aliyemalizia!!!
  10. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Usipende kulisha watu maneno hakuna sehemu nimesema HAKUMLEA KWA UPENDO,Mimi naungana na police mpaka uchunguzi ukamilike,ila nilikuuliza wewe unayesema kamlea Kwa upendo Umejuaje,na kwakuwa umetoa jibu la kijinga Kwamba ni umeamua tu,basi sawa hatuna haja ya kuendelea kujadili!!!
  11. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Kipimo pekee Cha kulea mimba Kwa upendo ni kufata maelezo yote kiafya Kwa mjazito kitu ambacho hatujui kama kafuata au lah,maana hata walevi wanazaa pia!!! Mimi sijadhani kama hakumlea Kwa upendo au lah,ila wewe ndio umesema amemlea Kwa upendo,na ndio nimekuuliza Umejuaje,maana sio ndugu yako...
  12. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    We Umejuaje kama kamlea Kwa upendo mkubwa?
  13. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kuna siri napenda kuwapa ila walionipa ni waganga na imani yake na wengine imani zetu

    Tukipata hela hatuendi kazini Hadi ziishe🤣🤣🤣
Back
Top Bottom