Hii ni Moja ya hoja ambayo inanifanya niamini Kuna maisha ya pili baada ya haya,tofauti na hapo maandiko yanabidi yaje na maana nyingine ya pale Mungu anaposema "Aliona kila alichokiumba kipo sawa,ikawa asubuhi ikawa usiku,siku ya 6"
Watu wachache sana wanaelewa na kufatilia vituo vya watoto yatima,so utakuwa kwenye mioyo ya watu 10 tu bro,ambao nao pia watakufa na utasahaulika kabisa!!!
Huyo ni chatgpt akikili na kutoa rai🙃🙃,by the way nipo bar Kuna ugomvi na vile nimemisi ugomvi kitambo, chochote kinaweza kutokea mamaee, ready to kill and die kama mwanangu Godzilla(r.i.p)!!!
Hitimisho la ukweli
Claude: bora kwa kusoma documents ndefu + uandishi rasmi
Mimi (ChatGPT): bora kwa kujifunza, kuelewesha, na matumizi ya kila siku
💡 Siri ya watu smart:
Hawachagui AI moja tu — wanatumia zote kulingana na kazi.
Kwa mujibu wa biolojia,ukiacha exhaustion za follicles na melanin production due to age,inaaminika mvi ni swala la matunzo tu ya virutubisho flaniflani😁😁
Kitu alichokiumba Mungu,mpuuzi Mmoja asikibeze, Panadol 3 bila maelezo ya daktari ni hatari zaidi ya skanka 10,
"if you want something to happen,just set it on fire,"God made it"💪💪
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.