Recent content by Niamini Mimi

  1. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Tukiangalia post tu bila kutaka kujua hali yoyote inayowazunguka hiyo familia,huyo mzee ni mpuuzi kama walivyo wazee wengi walozaliwa kabla ya millennials!!!
  2. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Amini Kwamba,ndio Maana sisi wengine tunapendq sana kusoma kuliko kuandika ni vile tunajua matatizo ya akili ni mengi mtaani na watu wenye common sense sikuhizi ni outnumbered,na kwenye haya majukwaa ni sehemu zao za kupunguza sumu,unaweza kujikuta upo kwenye ligi na mtu na hata usijue sababu za...
  3. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Hakuna sehemu nimesema asiulizwe,hakuna sehemu nimesema asikosolewe, nimesema apewe chance ya kueleweka(uamuzi binafsi),na Wala siamini kama watu hawajamuelewa humu,ni vile tu watu wengine wanapenda challenge za kijinga Ili kujionesha kuwa wako smart au kudogosha ufanyacho. Sababu baada ya...
  4. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Umetumia neno "wengi" sio wote,ukiwa haupo kwenye hilo kundi la "wengi" inabidi uamue kuelewa au uamini huo ujumbe haukuhusu wewe(upite hivi),ni kweli ujuzi wa uandishi unahitajika ila vipi mtu huyo akikosa huo ujuzi?,hapo ndipo ninaposema kuelewa ni kuamua, tunapoteza talent nyingi sana hata...
  5. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Kimsingi upo sahihi mkuu,usijali sana maoni ya watu juu ya ulichokiwasilisha,swala la uelewa ni la mtu binafsi,anachagua aelewe au asielewe,contrast ulizoziweka wengine ndo wanaziishi so ni ngumu wao kukupa approval na kukuelewa,bora ya wewe ambaye ushazijua,humu pia watu wanaishi Kwa makundi...
  6. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Dudu baya: Amvaa vikali Profesa J kupewa Milioni 30 na Rais Samia. Unatumia ugonjwa kupata fedha, wakati waTanzania wanamaisha magumu

    Nchi ya ajabu sana hii,so Rais akitoa pesa Kwa prof ni sawa ila akitoa Kwa Simba na yanga si sawa?Kuna kipindi mwendazake meko alikuwa anatembea na mabegi ya noti anagawa huko mtaani watu wakahoji hizi pesa ni zipi tena?,Kimsingi pesa yoyote kupewa mtu yeyote au kikundi chochote direct from...
  7. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Miaka 25 ya umri mtu ni kapteni na kashatoa roho za watu kibao,anarudi zake Pentagon anakuwa kanali,huku bongo mtu ana miaka 30 bado ni ruteni usu na hata ugomvi wa mtaa hajawahi kushiriki!!!
  8. Niamini Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwa nashindwa, wanaume wa JF wanatongozaje wadada wasiowajua?

    Achana na hizo bond za maandishi,nlishawahi kuwa na bond na sauti ya mdada flani hivi Kwa simu bila kumjua,siku nlokutana naye ndo siku nlijifunza the hard way Kwa hawa watu-fiche hasa wa mitandaoni 🚮🚮 Ila yote Kwa yote sisi wanaume ni mafisi iko wazi!!!
  9. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nawashwa sana kwenye makalio, nimetumia SKDERM Cream bila mafanikio

    Platinamu memba🤔🤔
  10. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Nyama ya Kenge ni kitoweo kitamu sana!

    Hiyo niliila kipindi flani nipo depo kwenye mapori ya malela ruvuma huko,nakili kuwa ni tamu sana ila lazima iwe na pilipili nyingi hivi,naungana na secretarybird Kwamba Mwachiluwi na Leejay49 watuongezee mautundu kwenye haya masapta sapta ya kikush!!!
  11. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Kwani huyo nnanauka anakidhi vigezo vya umri?
  12. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Nipo Zanzibar muda huu,kuna muhindi - mswahili hivi Hilo neno "ushanifahamu" lazima ulisikie akiwa anaongea!!!
  13. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nanauka: Serikali inatazamia kuanzisha benki ya Vijana

    Nliwahi kwenda hapo,zamani za 2017 nlivyomaliza advance tu,nlipewa hisabati za hatari na mdada flani hivi mwenye figa tata,ni kama walikuwa wananifukuza kabisa hivi!!!
Back
Top Bottom