Recent content by Niamini Mimi

  1. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kuna siri napenda kuwapa ila walionipa ni waganga na imani yake na wengine imani zetu

    Tukipata hela hatuendi kazini Hadi ziishe🤣🤣🤣
  2. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto Gani umekutana nazo kama ushawahi kufanya kazi kiwandani?

    2021 hapo bakhresa siku ya kwanza kabisa na ya mwisho,tushabwia pombe Kali ya 2000 double kick,nipo na mwanangu kanjo,viroba vya pumba kilo 30 vinashuka kama vinamwaga huko juu,Mimi nikaambiwa niwe kijiko yaani wale wanaowabebesha wengine viroba,mwanangu anabeba viroba akapange stake huko,night...
  3. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    Hii nayo ni Moja ya tabia mbaya na ya kijinga pia kama ya huko fb!!!
  4. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wazuri huwa hawapendi "nice guys" katika mahusiano?

    Natafuta Ajira mchango wako unahitajika huku,Kuna kijana ataaibika
  5. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Nungwi-Zanzibar wanawanywesha Ng'ombe pombe

    Ukifika Zanzibar ndio utaona Kwa macho yako ng'ombe na punda jinsi wanavyoteseka
  6. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Raha ya JamiiForums si kushinda hoja... ni kuona watu wakizichapa kwa maneno

    Mimi napenda aina ya ugomvi wa mtu wakuitwa @Erythrocyte,sijui ni wakike au wakiume yule,anakujaga na mada za siasa tu zimekaa flani hivi kumprovoke mtu,halafu yupo full mkoko akiamini atapata tag huko mbele,then ghafla katikati ya ligi anatoweka anawachia nyie🤣🤣,Sema namkubari sana mwamba wa...
  7. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Wanafiki wakubwa Tanzania ni wakaguru wanapatikana Kijiji cha Berega

    Wasukuma ni waajabu bro,ukikutana na wawili watatu unaweza usielewe au kuona Shida yoyote Ile,ila ukijihusisha nao sana ndo utaelewa hao jamaa mizinguo sana!!!
  8. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Kamfumania mke wake na mfanyakazi wake wa bustani

    Amwache tu,hakuna ushauri tofauti na huo kwenye fumanizi mkuu,hata bachelor Jesus aliwahi kusema"usimwache mkeo Kwa kosa lolote lile ila uzinzi"Hilo halina comeback Wala kutuliza akili!!!
  9. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Mambo yameanza huku nianze kukera watu karibu tunywe kuna warembo kama wote yani

    Au niwekee Mimi mmpesa nije nimthibitishie kuwa hiyo bill hapo juu ni kweli na sio ya A I 😁😁😁
  10. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Siku mkija gundua kwamba mapenzi si ya kuendekeza mtakuwa mmechelewa sana

    Kwa sauti ya Smart911 Tatizo vijana wa sikuhizi wabishi sana 🤣🤣🤣
  11. Niamini Mimi

    JamiiForums Tanzania Ni members gani wa JamiiForums thread/post zao hujawahi kuzielewa ?

    Kuna huyu platinum member pia🤣🤣!!!
Back
Top Bottom