Nchi ya ajabu sana hii,so Rais akitoa pesa Kwa prof ni sawa ila akitoa Kwa Simba na yanga si sawa?Kuna kipindi mwendazake meko alikuwa anatembea na mabegi ya noti anagawa huko mtaani watu wakahoji hizi pesa ni zipi tena?,Kimsingi pesa yoyote kupewa mtu yeyote au kikundi chochote direct from...
Miaka 25 ya umri mtu ni kapteni na kashatoa roho za watu kibao,anarudi zake Pentagon anakuwa kanali,huku bongo mtu ana miaka 30 bado ni ruteni usu na hata ugomvi wa mtaa hajawahi kushiriki!!!
Achana na hizo bond za maandishi,nlishawahi kuwa na bond na sauti ya mdada flani hivi Kwa simu bila kumjua,siku nlokutana naye ndo siku nlijifunza the hard way Kwa hawa watu-fiche hasa wa mitandaoni 🚮🚮
Ila yote Kwa yote sisi wanaume ni mafisi iko wazi!!!
Hiyo niliila kipindi flani nipo depo kwenye mapori ya malela ruvuma huko,nakili kuwa ni tamu sana ila lazima iwe na pilipili nyingi hivi,naungana na secretarybird Kwamba Mwachiluwi na Leejay49 watuongezee mautundu kwenye haya masapta sapta ya kikush!!!
Nliwahi kwenda hapo,zamani za 2017 nlivyomaliza advance tu,nlipewa hisabati za hatari na mdada flani hivi mwenye figa tata,ni kama walikuwa wananifukuza kabisa hivi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.