Huyu mzee alitufurahisha enzi zetu wakati huo hakuna tv wala kitu kingine cha kuburudisha.
Nafurahi bado yupo hai hivyo hata RTD wenyewe wafanye kila kitu ili mzee Jangala apate heshima zote.
Ni kweli, mimi niliishi Bunda na SDA, wakishapika chakula cha jioini, jiko linanuna mpaka jioini ya j.mosi.
Watoto wanakula vipolo visivyochemshwa. Amini amini nakwambia, sabato wanakula viporo.
Hiyo statement siikumbuki ila nakumbuka Nyerere alimuita Kenyata Nyang'au.
Sisi tuliishi kwa kuogopana. Kila mtu alikuwa informa wa mwenzie. Wazazi wetu aliojifanya wana midomo, walifirisiwa kila kitu. Huyo ndo Nyerere ninayemfahamu mimi.
Chakula wanachokula, lifestyle yao na kila kitu vinachangia. Watoto wa vijijini wengine wanafikisha miaka 13 hawajavunja ungo lakini wa mijini hasa wale wanaotoka kwenye familia za kati na juu, miaka 10 tayari.
Tabia ya wabongo ni kaa kimya wakati ule wa Nyerere tulinyamazishwa hivyo lakini hawa ni vizazi vipya.
Ukiwa msemaji au mkosoaji wa system unaambiwa siyo raia. Mifano mizuri ni akina Jenerali Ulimwengu, Kabendera, na sasa wameanza kwa waziri wa kilimo kumchimba.
Nchi hii siyo china au russia...
Ukweli upo wazi kuwa watu waishio mijini iliyopimwa kama Dodoma wanaweza kusambaziwa umeme na hata gas kiurahisi.
Miji nyingine kama Moshi maana ilijengwa na mkoloni inaweza kuwa sawa kwa hii style.
Tukija miji nyingine ni kanjanja. Kwanza bararaba inaingia chooni, Gholofa linaangaliana na bati...
Tunaomba weee lakini jibu bado.
Huyo aliyetangulia arudi atujulishe alichokiona huko kwa dhuluma walizomfanyia kaka yetu Lowasa.
Kama yeye alidhulumu mtu mbona miaka yote hakuna aliyejitokeza kulalamika? Tunamsubiri huyo Mungu tunayemuomba kila siku atupe jibu. Zamu hii awashughulikie wale...
Wewe unagombea uwenyekiti wa mtaa au kitongoji?
Umezunguka nchi nzima ukaona kero za wananchi jinsi wanavyoteseka au wewe ni wale wa ndiyooooo.
Vijijini hatuna barabara za kupitisha mazao yetu kwenda kwenye masoko unasema CCM imefanya mengi??
Watu hatuna waganga kwenye zahanati zilizojengwa...
Kumbuka akina Aristotle na wengine ma philosophers walikuwa mashoga hapa tunaongelea kabla ya Kristu. Ushoga ulikuwepo, upo na utakuwepo tu tupende tusipende.
Tumeshuhudia mashekhe na mapadiri wanashitakiwa kulawiti itakuwa waumini????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.