Habari Za Wakati Huu Wanajf!
Ni Matumaini Yangu Mu Wazima.
Niende Kwenye Point, Natokea Kijiji Fulani Wilayani Monduli, Na Hatukuwa Na Shule Ya Msingi Hivyo Tulilazimika Kutenga Eneo Na Baadaye Kuchangia Katika Ujenzi Wa Shule.
Tulifanikiwa Kujenga Madarasa Mawili Na Tukapata Wafadhili Nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.