Tatizo lenu mmemezwa kwenye 50/50 ndiyo maana unafananisha na upande wa KICHWA. Kwa nini uulize kwa KICHWA naye je!! Unataka haki sawa kwa wote? Ndiyo maana NDOA hazidumu miaka hii kwa kutaka haki sawa kwa wote. Hii ni haki ya kimahaba iliyokuwa inazingatiwa. Wanandoa waliishi hivyo, kama unaona...
Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
Brother, ndo hawa hawa, ukiwaambia wanakuambia "umepitwa na wakati". Sasa hapo sijui aliyepitwa na wakati ni nani!? Mimi nayajuwa ya nyakati zilizopita na za Sasa. Hawa dot.com ni shida sana.
😎
Mbona unayadharau? Yangekuwa siyo muhimu yangeota mahali nyeti namna hiyo? Wanaopendana inatakiwa hivyo. Halafu brother akimaliza tu kulima, utamwona anataka kupandamo muhogo 😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.