Basi Jana wakati natoka job mbezi beach kufika afrikana si nikakutana na rais Obama. Etii ameniomba lift ikabidi nimpe tukafika mwananyamala akashuka akasema anaishi mwananyamala kisiwan nikamwambia MPE hai kabint Michelle. Basi akaniomba namba za simu. Nikammpa....ghafla nikasituka. Eeeee kumbe...
Kuna jamaa chapombe sanaa kila baa mtaani kwetu anaijua yeye anajiiita mchanga hachagui maji. Sasa Siku mmoja jirani yake alimuozesha binti yake. Alitaka kumfanyia sendoff. Basi jamaaa akawa mstari wa mbele sana kwenye ilee hatua za vikao naliahidi kutoa hela nyingi na alizitoa zote. Lkn kila...
Nilalapo hujilaza ndani ya kifua chako niamkapo huamkia ndani ya mwili wako. Joto lako la mpnz nimeshare hats sioni mwingine. Hakika wewe sikuachi wala kukusaliti. Nasikia tu kuwa mpnz yanaumiza kwako siijui chungu hii. U mpenda amani upendo na mshikamano. Daima umekuwa nguzo yangu na msaada...
Cha ajabu unawapa njia ya kuboresha dhambiiiiiiii itafika wakati watu watayakataa mafundisho yalio kweli na kufuanda mafundisho ya tamaa zao.....Neno hili limetimia Sasa.
Wewe VP usiseme Watanzania sema wewe unaiman na huyo. Dah yaani siasa hatari unawasemea wengine baada ya kujisemea nafsi yako. Uliwahi kumuuliza Mtanzania mmojammoja?
Ni kweli wiki Jana nilikuwa na msomi mkoja kutoka Libya MTU maarufu tu nisimtaje nikiwa namuulizia mambo yahusuyo nchi yao. Alisema kuwa kiukweli ni mbegu ya uchochezi tu ilipandwa kati yao na tatizo kubwa yeye alisema ni Ujinga Wa wanachi wenyewe kuukubali uchochezi ule. Hili ni jambo hatari sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.