Badilisheni kwanza katiba, hakuna neno huyo mnaemtaka atatawala tu, atakapochoka atamkabidhi hata ndg yake.
Hata Nyerere aliongoza zaidi ya miaka 20, kwa hiyo hatuna ugomvi na nani ataongoza kwa muda gani isipokuwa ugomv ni katiba. AG ni wenu, nini kinashindikana kumwagiza apeleke mswaada kwa...
Jamani huyu nae eti ni “graduate wa std 7” kweli elimu yetu ni majanga.
Unapotoa ushauri wa hivi inabidi useme njia sahihi ya kukosoa endapo kuna mtu ataona mambo hayako sawa. Mfano ww huwa unatumia njia gani kukosoa/kushauri serikali, kusifia si lazima maana ni wajibu wao kufanya hivyo...
Kwa hiyo akienda kwa mpenzi wake ni JINAI eti amezua taharuki, ila Musiba aliyetangaza watu 10 hatari yy hakuzua taharuki. Kutangaza mtandao wa watu hatari kwa nchi hakika amesababisha taharuki kubwa, wananchi wanaishi kwa hofu kwa kuwa hawajui hao watu hatari kesho watafanya nini, hali...
wewe ni kiongozi wa pekee. Viongozi wakuu wa CDM ikiwemo bavicha inataka viongozi kama nyie, ila kwa bahati mbaya kwa sasa tuna viongozi ambao maamuzi yao ni sawa na bawacha.
Sijui ni kwa nini taifa lina watu wajinga namna hii.
Iko hivi, wanaotaka kuandamana wafuate taratibu ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa polisi na polisi wakiona kuna viashiria vya uhalifu watazuia na kuruhusu siku watakayoona hali iko shwari. Ila ikiwa hakuna tatizo la usalama wataruhusiwa...
Wewe ni mjinga sana, CDM wametangaza maandamano hayo yanayopingwa?
Sijui tafrani inatoka wapi, wanaotaka kuandamana hawajasema kuwa hawatafuata taratibu na sheria ikiwa ni pamoja na kuomba kibali. Marufuku ya nini, inatakiwa usubiri kwa maeneo watakayopewa vibali baada ya polisi kujiridhisha...
Ni kama ninaelewa ulichoandika pia ni kama sielewi. Ukitoa maelezo bila uhakika kwa kukurupuka tu, hayo maelezo ni ushahidi mahakamani. Ni bora kukaa kimya hadi upate usaidizi wa kisheria, sawa!
Ukilazimishwa kutoa maelezo (hasa kwa vipigo vya mbwa mwizi), hayo maelezo unaweza kuyapinga...
Kwa hiyo ni jukumu la nani kuhakikisha hii taharuki inatoweka kwa wananchi. Kuna siku unatoa hoja nzuri lkn sometime unatoa mashudu. Umeshindwa kutambua jukumu la kuhakikisha usalama kwa raia ni la nani kabla ya kuposti huu uzi wako?
Kila mtu akubali kukosolewa, kusifiwa si LAZIMA ni hisani tu ila KUKOSOLEWA ni haki na pia huthibitisha kuwa binadamu hatuko sawa kwenye kufikiri. Ukiona watu wanakusifia kwa kila jambo, tambue kuwa wamekuachia ww ufikirie kwa niaba yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.