Recent content by nguvu ya buku

  1. N

    Marais wa kiislamu wanapenda kuacha mizizi ya vizazi vyao kwenye madaraka, wakristo wamelala sana au ni hekima ?

    Nyerere alizuia watoto wake wasiingie kwenye siasa Jesca kwa kiasi kikubwa kaingia kwenye siasa kwa kujipush mwenyewe,
  2. N

    Marais wa kiislamu wanapenda kuacha mizizi ya vizazi vyao kwenye madaraka, wakristo wamelala sana au ni hekima ?

    Labda kwa wenye asili ya kiarabu na wahindi, tena wao huoana wao kwa wao, huchangamana wao kwa wao, umoja wao upo kiasili zaidi. Ukija kwa watanzania wa asili, wafanyabiashara wakubwa wengi wakristo
  3. N

    Huwa tunakuwa wanafki kuonekana wema lakini suluhisho la kunyimwa unyumba muda mrefu na kukosa watoto ni kuongeza mke au kuvunja ndoa

    Mbona wengine tuna mke moja na mambo yanaenda vizuri tu. Haya nayaandika kwa malalamiko mengi ambayo yamekuwa kero kila kukicha, leo hii tu kuna uzi humu mdau analalamika kunyimwa unyumba miezi minne
  4. N

    Huwa tunakuwa wanafki kuonekana wema lakini suluhisho la kunyimwa unyumba muda mrefu na kukosa watoto ni kuongeza mke au kuvunja ndoa

    Imekuwa too much sasa, mara kwa mara naona wanaume wakilalamika kunyimwa unyumba muda mrefu, pia kumekuwa na ongezeko la ndoa nyingi zenye miaka 5+ kukosa watoto. Kama ni mwanaume -Ongeza mke -Vunja ndoa oa mwengine Kama ni mwanamke -Omba talaka uolewe upya Tuache kujifanya wema kwa unafki...
  5. N

    Marais wa kiislamu wanapenda kuacha mizizi ya vizazi vyao kwenye madaraka, wakristo wamelala sana au ni hekima ?

    Huu ni uzi wa marais, tukianza kuweka na wengine tutakesha. Fuatilia wake wa mawaziri waliopitishwa kugombea ubunge utanielewa
  6. N

    Marais wa kiislamu wanapenda kuacha mizizi ya vizazi vyao kwenye madaraka, wakristo wamelala sana au ni hekima ?

    Tukiangalia mwelekeo wa uongozi Tanzania, kuna hali inayoashiria kuwa baadhi ya familia za viongozi wa Kiislamu zimejenga mizizi ya kisiasa kizazi kwa kizazi. Swali ni je, hili ni suala la kulala kwa Wakristo kisiasa, au ni busara ya kuchagua kutohusisha familia na siasa? Angalia mfano wa...
  7. N

    Nahisi ndugu yangu kaanza kuvuta bangi, Leo kataka kusimamisha gari kwa mikono, naanzaje kumshauri aache,

    Tulifikia sehemu nikamwambia apaki gari upenuni mwa barabara, nikashuka kwenda kununua makubwa. Yeye naye akashuka, sijui kupunga upepo au ku-scan anga Ghafla nageuka naiona gari inatembea yenyewe, Alienda mbele ya gari akaweka mikono akaanza kusukumana nayo, kakaza uso, mishipa imemtoka...
  8. N

    Serikali inazingua lakini na sisi tunajisahau mno

    Watu wengi wakipata nafasi, wanaangalia zaidi namna ya kuinua familia / ndugu zao, si kwa maslahi ya taifa au jamii kwa ujumla. Mradi mtu na familia / ndugu wake wako vizuri, basi huhisi nchi haina shida hata kama jirani anaumia, hata kama mfumo mzima unaporomoka, wao hayawahusu. Hiki ndio...
  9. N

    Naombeni tupige hesabu, Kila mbunge akipewa milioni 400, jumla ni shilingi ngapi zinachotwa kwenye kodi zetu ?

    Hawa wanaogombea kwa sasa wataongezewa iwe milioni 500 kufikia 2030 Idadi ya wabunge wa sasa 2020 - 2025 ikoje
  10. N

    Naombeni tupige hesabu, Kila mbunge akipewa milioni 400, jumla ni shilingi ngapi zinachotwa kwenye kodi zetu ?

    Ni matusi kukiita kiinua mgongo kwasababu hata watumishi waliofanya kazi miaka 30+ katika taasisi kubwa kama Benki kuu, TRA, Bandarini, Tanapa, n.k. wengi sana hawapati hicho kiasi, Kuna jumla ya majimbo mangapi yenye wabunge Idadi ya wabunge Viti maalum Idadi ya wabunge wanaochaguliwa na...
  11. N

    Halafu kuna watu sijui walizaliwa na bahati gani wengine tulikosa, Yani mtu ana pendwa kila sehemu, watu wanajitoa kwajili yake, anaweza kuishi popote

    Hadi wengine mnaweza kudhani mlikanyaga chura au mlirukwa mkiwa wachanga na watu wenye mikosi 😂 Ni zaidi ya kismati waweza dhani kuna mitishamba Mtu yupo kawaida tu lakini hata azingue kazini bosi anaona kawaida, Iga wewe sasa !, mtu akifikia sehemu tayari kiwingu kimemzunguka cha watu, awe...
  12. N

    Kazi ya kutengeneza muziki studio inahitaji utulivu lasivyo wasanii wataku sababishia kesi ya mauaji !

    Producer: Upo aje bro, uko tayari? Msanii: Ah niko full kabisa, lakini kuna kipengere, hapa sina cash ila kuna mchongo nausikilizia ntakulipa Alhamis. Producer: wala usihofu, Najua unahaso, tunasaidiana na we do it for the game, laza michano kwenye beat. Msanii: Sawa ndugu, Mic test, one two...
Back
Top Bottom