Recent content by Nguva Jike

  1. Nguva Jike

    Barua ya wazi kwa Waziri Mkuu akiwa Kilindi Tanga

    Hongereni kwa majukumu ya kazi za kila siku. Barua hii kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania imfikie mh Mwigulu Nchemba waziri mkuu wa Tanzania akiwa kilindi Tanga Leo tarehe 13.02.2026. Kwakuwa kumuona mh.ana kwa ana ni ngumu tunaomba asome barua ya walimu wa kilindi Tanga inayohusu pesa...
  2. Nguva Jike

    TETESI:Baadhi ya viongozi halmashauri ya Kilindi kuburuzwa mahakamani.

    Ok well understood Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Nguva Jike

    TETESI:Baadhi ya viongozi halmashauri ya Kilindi kuburuzwa mahakamani.

    Kingereza wengine kimetupiga chenga mshana fafanua. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Nguva Jike

    TETESI:Baadhi ya viongozi halmashauri ya Kilindi kuburuzwa mahakamani.

    Habari za asubuhi.Kuna habari za chinichini wilayani Kilindi Tanga kuwa kuna baadhi ya viongozi wataburuzwa mahakamani muda wowote kuanzia jumatatu ya tarehe 08.09.2025. "Kimya kingi kina mshindo".Alisikika mtumishi mmoja wapo wa Kilindi.Suala la kuburuza viongozi hao mahakamani linakuja baada...
  5. Nguva Jike

    CRDB sasa tena wameongeza muda wa huduma kutopatikana, hivi hawa jamaa kimeawakumba nini?

    Hata sim banking yenyewe haipatikani inasema external application down.Aseee. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Nguva Jike

    Uchafu uliokithiri kwa wanaume na wanawake - njooni turekebishane!

    Pia watu tufanye ditoxing kutoa makemiko machafu miilini Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Nguva Jike

    Bado hakomi kila mara anasombewa assets.

    Hata kama wanapendana ndio usombelee vitu vyote kwenu?
  8. Nguva Jike

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Fidia za makazi mradi gridi imara Tanga mnalipa lini?
  9. Nguva Jike

    Bado hakomi kila mara anasombewa assets.

    Habari za muda huu members. Kuna jirani yangu hapa ninapoishi yeye ni mfanyakazi wa kampuni kubwa ya mabasi ya mikoani. Kwa macho yangu jana ni mara ya tatu ndani ya miaka 2 ya ndoa mke anaenda kwao kukitokea maneno kidogo tu. Mke anavizia jamaa akienda kazini huku nyuma anakodi guta anasomba...
  10. Nguva Jike

    Hivi ni kweli watu huwa mnapitia changamoto na mkishazikabiri huwa kuna mafunzo mnapata na hamfanyi tena hayo makosa?

    Aisee for the third time wanasomba assets zote sending to their parents starting from zero every day[emoji24]
  11. Nguva Jike

    Naona kama mke ananikwamisha

    Huyo ana nyota ya umasikini mtafutie sababu akiondoka kwao akirudi akute pameuzwa na pamejengwa golofa nje kuna mbwa wakali.Nyau sana.
Back
Top Bottom