Hongereni kwa majukumu ya kazi za kila siku.
Barua hii kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania imfikie mh Mwigulu Nchemba waziri mkuu wa Tanzania akiwa kilindi Tanga Leo tarehe 13.02.2026.
Kwakuwa kumuona mh.ana kwa ana ni ngumu tunaomba asome barua ya walimu wa kilindi Tanga inayohusu pesa...
Habari za asubuhi.Kuna habari za chinichini wilayani Kilindi Tanga kuwa kuna baadhi ya viongozi wataburuzwa mahakamani muda wowote kuanzia jumatatu ya tarehe 08.09.2025.
"Kimya kingi kina mshindo".Alisikika mtumishi mmoja wapo wa Kilindi.Suala la kuburuza viongozi hao mahakamani linakuja baada...
Habari za muda huu members.
Kuna jirani yangu hapa ninapoishi yeye ni mfanyakazi wa kampuni kubwa ya mabasi ya mikoani.
Kwa macho yangu jana ni mara ya tatu ndani ya miaka 2 ya ndoa mke anaenda kwao kukitokea maneno kidogo tu.
Mke anavizia jamaa akienda kazini huku nyuma anakodi guta anasomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.