Recent content by Nguva Jike

  1. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Mtumishi Kwa mtumishi 😡
  2. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Halmashauri-Kilindi yamhonga kiongozi wa CWT asiwatetee walimu katika haki zao.Ushahidi upo usio na shaka.

    Habari za muda huu. Nchi yetu imefikia hatua mbaya sana katika haki za watumishi.Jambo hilo limethibitika baada ya Halmashauri-Kilindi kuhonga baadhi ya viongozi wa CWT Kilindi Ili wasiwatetee walimu katika madai Yao ikiwemo madai ya uhamisho. Hongo hiyo ni pamoja na kuwalipa pesa zote za...
  3. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Takukuru wilaya ya Kilindi Tanga chunguzeni chama Cha walimu Kilindi Tanga wanatoa rushwa kuzuia walimu wasijitoe CWT

    Habari za jioni. Tunaomba Kwa maslahi ya ustawi wa elimu wilayani Kilindi Tanga taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa wawachunguze chama Cha walimu Kilindi Tanga kwakuwa ndio wanaohusika na kuhonga ofisi ya utumishi Kilindi isiwatoe walimu wengi wanaotaka kujitoa CWT kutokana na udikteta wa...
  4. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Mh.Waziri mkuu wa Tanzania Mwigulu Lameck Nchemba tembelea wilaya ya Kilindi Tanga uwaokoe walimu wanaofanyiwa udikteta wa hali ya kutisha bila kutete

    Kwanza nakusalimia Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.Kazi iendelee. Naandika Kwa maumivu makali moyoni juu ya udikteta wa kutisha unaofanywa Kwa walimu wanaodai madai mbalimbali hapa wilayani Kilindi Tanga.Pesa za likizo hazitolewi Kwa wakati Kwa watumishi na zikija zimekatwa. Pesa...
  5. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Chama cha walimu Kilindi laana ya dua mbaya iwe juu yenu

    Habari za mchana. Malengo ya chama cha walimu ni kuwatetea na kupigania haki za walimu kwa mwajiri.Chama cha walimu Kilindi Tanga hamjali shida za walimu kabisa mnajali kulinda vyeo vyenu laana iwe juu yenu katika kila jambo katika maisha yenu.Ameen. Walimu wanakatwa pesa za likizo bila huruma...
  6. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Walimu 56 wakihama chama cha CWT Kilindi Tanga

    Walimu 56 wakihama chama cha walimu CWT kilindi Tanga.Hatua hiyo wamefikia kutoa notisi ya mwezi mmoja kwa mwajiri. "Mimi nadai pesa za uhamisho mwaka wa 6 huu mbaya zaidi kila wanaposema wanatulipa tunaishia kupewa laki mbili,tatu au nne sisi walimu wa msingi lakini wenzetu wa sekondari...
  7. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Malalamiko ya walimu Kilindi Tanga yafika ofisi ya waziri mkuu Kwa mafanikio.Cwt kilindi kuburuzwa katika vyombo vya kisheria

    Ubaguzi katika malipo mfano wote mnadai Kila mmoja milioni tatu.Wa msingi atalipwa 200000 Ili adai 2800000 lakini wa sekondari atalipwa milioni Moja Ili adai milioni mbili umeelewa sasa
  8. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Malalamiko ya walimu Kilindi Tanga yafika ofisi ya waziri mkuu Kwa mafanikio.Cwt kilindi kuburuzwa katika vyombo vya kisheria

    Habari za muda huu. Kwa mafanikio makubwa katika historia ya maendeleo ya kielimu wilayani kilindi.Mjumbe maalumu alieandaliwa na walimu hao wenye malalamiko ya madai mbalimbali aliwajulisha walimu kuwa kazi aliyotumwa ameifanya kikamilifu huku akiwatumia picha kadhaa za ushahidi wa kufanikisha...
  9. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa benki avunjwa mkono na mtumishi ndani ya benki wilayani Kilindi

    Lakini inakera sana kitendo alichofanyiwa mwalimu
  10. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa benki avunjwa mkono na mtumishi ndani ya benki wilayani Kilindi

    Bank hiyo haipo wilayani kilindi
  11. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa benki avunjwa mkono na mtumishi ndani ya benki wilayani Kilindi

    Sawa na wao wakahukumiwe Kwa uzembe
  12. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa benki avunjwa mkono na mtumishi ndani ya benki wilayani Kilindi

    Kweli kbs lkn kutafuta maisha Kwa kufurahia shida za watu ni zaidi ya uchawi
Back
Top Bottom