mimi mwanangu wa kike anasoma kayumba ,lakini akili acha kabisa maksi za juu 95-100 huko.la msingi ni mzazi kuzingatia ratiba za mwanao kimasomo na nyumbani basi...zingine mbwembwe tu...elimu bure hoyeeee.....
jamani punguzeni hasira,single mom nao watu mjue...kutokujiamini tu mbona unaoa kabisa single mother na life linakuwa poa tu. inategemea umemkuta katika mazingira gani,lakini wanaoleka kabisa...hata mimi niimpata aliye poa,namaliza kabisa
ni mawzo yako ndiyo yanayokutesa,jaribu kufikiria mambo mazuri yakumfanyia kiumbe mtarajiwa ,halafu uone matokeo yake kama hujafurahi.mingine hii ni mitihani aisee
hao mbona wapo wengi siku hizi. kila siku wanabuni mbinu mpya za kula kisicho fanyiwa kazi,achana naye au kama vipi aje,tena mwambie aje na rafiki zake........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.